Hitimisho ligi kuu ya uingereza- epl

Ngaramtoni

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2012
Posts
430
Reaction score
61
Leo ndo pazia la ile ligi maarufu duniani (hapa kuna wanaopenda kuita ligi bora) linafungwa rasmi.Hii ndo ligi inayofuatiliwa na watu wengi Tanzania na duniani kwa ujumla.

Toka ilipoanza Agosti mwaka jana,ni mengi yametokea.Hatimaye Chelsea wametawazwa mabigwa,man city wakachukua nafasi ya pili huku arsenal na man u wkimaliza nafasi za nne za juu kwa mfuatano huu.

Kila mdau atakuwa na lake aliloliona kwa kipindi hicho chote,ikiwa ndo siku ya mwisho,na wewe unaweza kutushirikisha ni nini unaweza kukumbuka cha kipekee kwenye msimu huu?
 
Ligi ya butua butua yani nguvu nyingi akili chache
 
Hull City anashuka
man hatouza mechi kwel kwa sababu wamepishana point mbili na Newcastle ila Hii inategemea endapo Newcastle hatoshnda au kutoa droo na west ham kwa sababu naona man u kuipuka play-off ishakuwa ngetwa

iyo ndo PL [emoji638] [emoji646] [emoji637] [emoji640] [emoji679] [emoji638] [emoji646] [emoji637] [emoji641] [emoji112] [emoji112]
 


LvG kasema atashusha kikosi cha nguvu leo pale Kc Stadium hamna kubebana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…