utaratibi ni huuMimi wala sijahuzunika sana kwa matokeo haya. Kinachonihuzunisha mimi mpaka leo sijui ni utaratibu gani ulitumika kutengeneza kikosi cha vijana (Serengeti Boys), nilisikia tu tuna kikosi cha vijana chini ya miaka 17 wamekwenda India kupiga kambi, mpaka leo sijui hawa Boys walichukuliwa kutoka wapi?
Kama hujui si uulize fala wewe... Bytheway si lazima kila kitu kikuhusu..Mimi wala sijahuzunika sana kwa matokeo haya. Kinachonihuzunisha mimi mpaka leo sijui ni utaratibu gani ulitumika kutengeneza kikosi cha vijana (Serengeti Boys), nilisikia tu tuna kikosi cha vijana chini ya miaka 17 wamekwenda India kupiga kambi, mpaka leo sijui hawa Boys walichukuliwa kutoka wapi?