Hitimisho Makundi: Serengeti Boys 0-1 Niger, Angola 0-4 Mali

Sheria ni head to head. So turudi tu tumuombe Mungu laana ya kuka rambirambi itutoke
 
Kocha wa Serengeti Boys mbwembwe nyingiiiiii,
Badala kupanga Winning team olioichapa Angola.Eti anasema anafanya mabadiliko ili kuweka nguvu ya mechi za mbele
Hii akili kweli?we hujapita buado halafu unaangalia mbele.
Makocha wa Kitanzania bado saaana.
Aliyofanya Mkwasa ndio ameyofanya kocha wa Serengeti Boys.

Acheni wenye kujua wastahiki kushinda,watu wamewekeza kwenye soka la watoto,sio sie team inachangiwa kama yatima
 
Wakati mwafaka wa kumgoa Malinzi maana uku ndo alkua anatafta hurma wanasimba nchi nzima mkamkatae uyu jamaa
 
Refa hii mechi imemshinda, kashindwa kuwapa tahadhari za yellow card hawa Niger waliokuwa wanapoteza muda kijinga. Hata hivyo safu ya ushambuliaji ya Serengeti Boys ipo butu sana. Yule asuleiman ana papara sana na anamakosa ya kipuuzi sana
 
Hongera malinzi japo kwa hako katimu cha watoto. Ila uachie ngazi maana umeshindwa kutuondolea jini la mwendawazimu.
 
Safi sana, ngoja wadogo zetu waje wapumnzike. Tunachoweza ni Big Brother Africa, au uwanja wa fundi seremala.

Maisha yetu ya kawaida hayana mipango, utulivu wa mazingira hatuna, so vijana watatoa wapi utulivu zaidi ya butua butua?

Mungu bariki warudi salama .
 
Acheni Majungu... Vijana wamepigana
 
Kama tulochangoa fedha za kuendea kombe la dunia, tutazielekeza kwenyw ujenzi wa uwanja huko Katavi.
 
.
Kilimo kipi? Cha kutegemea mvua ya Mungu?
Tanzania kichwa cha mwendawazimu. Hasa hasa ukiangalia dereva wa nchi kwa sasa utakubaliana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…