HITS Tanzania, nafasi za kazi za engineering hamna?

HITS Tanzania, nafasi za kazi za engineering hamna?

kipipili

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
1,587
Reaction score
186
hawa jamaa nimesikia wamerudi kwenye soko la telecoms, vipi hawana nafasi za ajira? maana sijasikia, au ndio wanachakachua
 
wapo wapi hawa jamaa?
i mean ofisi zao na contacts et all
 
hawa jamaa nimesikia wamerudi kwenye soko la telecoms, vipi hawana nafasi za ajira? maana sijasikia, au ndio wanachakachua

Mkuu mi nilivyoanza kusoma heading nikajua unamimina hapa jukwaani nafasi za kazi walizotazitagaza Hits.
Kumbe!!
 
Back
Top Bottom