We jamaa mzembe sana harufu ya kinyani hutokana na KUTOKA na mmeng'enyo mzuri wa chakula tumboni PIA ambaki ya chakula kinywani ambapo yanaoza na KUTOa harufu
Ndio..HIV/AIDS kwenye stage za tatu na nne husababisha kupungua kwa kinga ya mwili.Hii hupelekea magonjwa nyemelezi ikiwamo ya kwenye kinywa.Mfano Oral Thrush husababisha kuvimba kwa fizi na hakutokwa vidonda pamoja na harufu mbaya mdomo