HIV na harufu mbaya mdomoni

Mikeyy

Senior Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
106
Reaction score
35
wadau je kuna uhusiano wowote kati ya harufu mbaya ya kinywa na maambukizi ya HIV/AIDS?
 
Samahani naomba kuuliza Unajua current hiv status yako?
 
We jamaa mzembe sana harufu ya kinyani hutokana na KUTOKA na mmeng'enyo mzuri wa chakula tumboni PIA ambaki ya chakula kinywani ambapo yanaoza na KUTOa harufu
 
wadau je kuna uhusiano wowote kati ya harufu mbaya ya kinywa na maambukizi ya HIV/AIDS?
Ndio..HIV/AIDS kwenye stage za tatu na nne husababisha kupungua kwa kinga ya mwili.Hii hupelekea magonjwa nyemelezi ikiwamo ya kwenye kinywa.Mfano Oral Thrush husababisha kuvimba kwa fizi na hakutokwa vidonda pamoja na harufu mbaya mdomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…