Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikumbuka yaliyonikuta mm dah mungu mkubwa jamani nilipiga demu positive kabisa usiku nikaburudika nae vya kutosha tu ikapita cku moja nikashtuka nikasema inatakiwa nimpime yule mwanamke nilimpigia cm aje akaja kumpima kitu kikatiki dah ile cku nilikua hovyo sana uzuri wake kabla ya kumpima cku ya nyuma yake nilimeza PEP ila nilichukua vidonge viwili nilivyompima nikaona positive ikabid nichukue mzigo full wa mwezi mzm nikamaliza nashukuru mungu juzi nimejipima nimeona niko vizuri sirudiii tena maana iliniathiri kisaikolojia embu fikiria unampima demu uliyemgonga peku tena rough halafu unakuja kumpima unamkuta positive dah mungu mkubwaWakuu naomba kuuliza ukipima HIV kupitia kipimo Cha kwenye kidole baada ya siku 38 Ina accuracy ya kiasi gani na je majibu yanaweza badilika?
Wewe kama Mimi japo mimi nilichelewa kujua na nilikuja kujua siku ya 38 kama jamaa hapo juu.... Kichwa iliwaka Moto na hapo nilikuwa nimepiga zaidi ya mara 6 kavu....Nikikumbuka yaliyonikuta mm dah mungu mkubwa jamani nilipiga demu positive kabisa usiku nikaburudika nae vya kutosha tu ikapita cku moja nikashtuka nikasema inatakiwa nimpime yule mwanamke nilimpigia cm aje akaja kumpima kitu kikatiki dah ile cku nilikua hovyo sana uzuri wake kabla ya kumpima cku ya nyuma yake nilimeza PEP ila nilichukua vidonge viwili nilivyompima nikaona positive ikabid nichukue mzigo full wa mwezi mzm nikamaliza nashukuru mungu juzi nimejipima nimeona niko vizuri sirudiii tena maana iliniathiri kisaikolojia embu fikiria unampima demu uliyemgonga peku tena rough halafu unakuja kumpima unamkuta positive dah mungu mkubwa
Mungu ni mwema bro... mpaka kuwai PEP Huyo mwanamke positive ulipata michubuko au??Nikikumbuka yaliyonikuta mm dah mungu mkubwa jamani nilipiga demu positive kabisa usiku nikaburudika nae vya kutosha tu ikapita cku moja nikashtuka nikasema inatakiwa nimpime yule mwanamke nilimpigia cm aje akaja kumpima kitu kikatiki dah ile cku nilikua hovyo sana uzuri wake kabla ya kumpima cku ya nyuma yake nilimeza PEP ila nilichukua vidonge viwili nilivyompima nikaona positive ikabid nichukue mzigo full wa mwezi mzm nikamaliza nashukuru mungu juzi nimejipima nimeona niko vizuri sirudiii tena maana iliniathiri kisaikolojia embu fikiria unampima demu uliyemgonga peku tena rough halafu unakuja kumpima unamkuta positive dah mungu mkubwa
Vp mkuu Pep zilikusaidia?Nahangaika hapa na PEP baada ya kula toto moja japo nilivaa kinga kwa ufasaha
Huu uzi na comment ni vyakusoma mchana🤣🤣Vp mkuu Pep zilikusaidia?
Duuuu hatali sanaWewe kama Mimi japo mimi nilichelewa kujua na nilikuja kujua siku ya 38 kama jamaa hapo juu.... Kichwa iliwaka Moto na hapo nilikuwa nimepiga zaidi ya mara 6 kavu....
Sema Mungu anamipango yake mkuu, ukiandikiwa kitu kinatimia....maana kuna wengine siku ya Kwanza tu wanapata maambukizi