Tetesi: Hiv ni kweli ukitaka salary slip ni lazima udownload?

Tetesi: Hiv ni kweli ukitaka salary slip ni lazima udownload?

Joined
Nov 19, 2013
Posts
96
Reaction score
47
Jaman hii ni kwa watumidhi wale wrnye uelewa na hili jambo tu. Kama huelewi naomba ukae kimya.


Juz nilifika ktk ofisi za halmashauri ninayofanyia kazi na kuuliza iwapo nitapata salary slip zangu za mishahara ya mwezi wa saba na miezi iliyopita, ila nilibiwa kua, kuanzia mwezi wa saba na kuendelea, yaani wa nane na tisa salary slip inatakiwa tudownload.
Ila sikupewa link wa sikuambiwa hiyo link inapatikana wap.
Sasa jamani kwa mwenye uelewa wa hii kitu naomba msaada ili niweze kuelewa zaidi.
Na kama link ipo mwenye nayo ninaiomba maana ninashida na salary slip.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman hii ni kwa watumidhi wale wrnye uelewa na hili jambo tu. Kama huelewi naomba ukae kimya.


Juz nilifika ktk ofisi za halmashauri ninayofanyia kazi na kuuliza iwapo nitapata salary slip zangu za mishahara ya mwezi wa saba na miezi iliyopita, ila nilibiwa kua, kuanzia mwezi wa saba na kuendelea, yaani wa nane na tisa salary slip inatakiwa tudownload.
Ila sikupewa link wa sikuambiwa hiyo link inapatikana wap.
Sasa jamani kwa mwenye uelewa wa hii kitu naomba msaada ili niweze kuelewa zaidi.
Na kama link ipo mwenye nayo ninaiomba maana ninashida na salary slip.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole sana, kiufupi nenda www.utumishi.go.tz then nenda watumishi portal unafungua akaunti itayokutaka uweke cheque number then ukishapata akaunti utakua una log in...

From there utapata salary slip zako zote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom