HIV postive and negative @ the same time?

HIV postive and negative @ the same time?

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,401
Wapendwa hebu nisaidieni juu ya hili...
Binti yangu wa kazi mwenyeji wa Sehemu za Ngara kila nikienda likizo na yeye nampa likizo...
jmos karudi toka kwao akiwa mnyonge na amepungua sana ,nikaomba kujua linalomsibu,
Bila shida akanambia dada nina tatizo
tarehe 4-1-2013 nilipima huko kwetu ikaonekana nimeathirika akaanza kupiga mayowe ..nilitaka kujiua ila mungu tu kanisaidia
Sasa naomba nisaidie twende kupima ili nihakikishe kama ni kweli maana Dr aliyenipima aliwahi kunitongoza sasa sijui labda alikuwa anatania,,nikambembeleza na kumpa maneno ya matumaini mpaka akarudi normal
Ok nikamwambia haina neno tutaenda ..nikamvutia muda
Jana tukaenda Amref akafanyiwa counceling na kumchukua damu kwa kutumia vipimo viwili ..
Kipimo cha kwanza kikaonyesha postive kingine nigative wakaitana na kuamua warudie tena majibu yakatoka vile vile
mmoja akasema hana ,mwingine akawa hana uhakika ,nimeambiwa nimrudishe baada ya miezi mitatu..
Kinachonichanganya mie naenda job asubuhi sana na kurudi jioni sana binti huyu ndo anamwandaa mtoto kwenda shule na kazi nyingine nakosa amani ingawa nimeshamwambia awe makini na kazi zake mpaka hapo atakapocheki tena
Je inawezekana ni mzima?
lakini inawezekanaje kipimo kimoja kiaonyesha postive na kingine negative??
 
mhhh.....pole sana! hii ndio naisikia hapa!
je kuna uwezekano wa kwend akupima sehemu nyingine (though nahisi ni inaweza leta usumbufu kwako na kwa dada) MziziMkavu and others please come this way help our dada!
 
Last edited by a moderator:
NEVER ON EARTH!Na kama ipo twende tukaweke records kwenye WORLD GUINNESS BOOK OF RECORDS...Nitalipia Meal and Accomodation nad Transport!
 
Jaribu kwenda hosp nyingine ukampime tena.

Hii ya wasichana wa kazi kuwa na hili tatizo imemkuta hata jirani yangu.
dada alikuwa na uvimbe unaojirudia rudia kwenye mguu, japo alikuwa hajawahi kusema lolote kwa mother house,
alipougua last two weeks wakaenda na mama mwenye nyumba tumbi hosp. kupima dada ni mgonjwa tena kinga ya mwili wake imeshuka sana.

Hapo kasheshe nahisi father house naye alishalamba, wakabebana familia yote kwenda kupima, majibu sikufuatilia kwani niliona haitanisaidia.

Kumbuka kuwa kuna watoto watatu, mmoja alizaliwa dada akiwa hapo hapo na wengine ni wakubwa kidogo tu.

Kwa hiyo inavyoonyesha ni lazima waja kazi nao wapitishwe kwa mkemia mkuu ndo wapewe offer.
 
Paloma kwa hosp zetu na uzembe uliyopo kila kitu kinawezekana.

mhhh.....pole sana! hii ndio naisikia hapa!
je kuna uwezekano wa kwend akupima sehemu nyingine (though nahisi ni inaweza leta usumbufu kwako na kwa dada) MziziMkavu and others please come this way help our dada!
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa hebu nisaidieni juu ya hili...
Binti yangu wa kazi mwenyeji wa Sehemu za Ngara kila nikienda likizo na yeye nampa likizo...
jmos karudi toka kwao akiwa mnyonge na amepungua sana ,nikaomba kujua linalomsibu,
Bila shida akanambia dada nina tatizo
tarehe 4-1-2013 nilipima huko kwetu ikaonekana nimeathirika akaanza kupiga mayowe ..nilitaka kujiua ila mungu tu kanisaidia
Sasa naomba nisaidie twende kupima ili nihakikishe kama ni kweli maana Dr aliyenipima aliwahi kunitongoza sasa sijui labda alikuwa anatania,,nikambembeleza na kumpa maneno ya matumaini mpaka akarudi normal
Ok nikamwambia haina neno tutaenda ..nikamvutia muda
Jana tukaenda Amref akafanyiwa counceling na kumchukua damu kwa kutumia vipimo viwili ..
Kipimo cha kwanza kikaonyesha postive kingine nigative wakaitana na kuamua warudie tena majibu yakatoka vile vile
mmoja akasema hana ,mwingine akawa hana uhakika ,nimeambiwa nimrudishe baada ya miezi mitatu..
Kinachonichanganya mie naenda job asubuhi sana na kurudi jioni sana binti huyu ndo anamwandaa mtoto kwenda shule na kazi nyingine nakosa amani ingawa nimeshamwambia awe makini na kazi zake mpaka hapo atakapocheki tena
Je inawezekana ni mzima?
lakini inawezekanaje kipimo kimoja kiaonyesha postive na kingine negative??

Mmh wahi angaza ukajiridhishe shosti usipime mtaani, kuanza kula mashudu mapema kuna imalisha CD4
 
Mkuu,
Kesi za aina hii zipo nyingi tu pengine sisi tumechelewa kuzisikia. That is how the HOAX came about. Jaribu kwa siku 1 kupima katika vituo tofauti tofauti 5 tu tayari utakuwa umepata jibu.

Kwa sasa soma article HII

Wapendwa hebu nisaidieni juu ya hili...
Binti yangu wa kazi mwenyeji wa Sehemu za Ngara kila nikienda likizo na yeye nampa likizo...
jmos karudi toka kwao akiwa mnyonge na amepungua sana ,nikaomba kujua linalomsibu,
Bila shida akanambia dada nina tatizo
tarehe 4-1-2013 nilipima huko kwetu ikaonekana nimeathirika akaanza kupiga mayowe ..nilitaka kujiua ila mungu tu kanisaidia
Sasa naomba nisaidie twende kupima ili nihakikishe kama ni kweli maana Dr aliyenipima aliwahi kunitongoza sasa sijui labda alikuwa anatania,,nikambembeleza na kumpa maneno ya matumaini mpaka akarudi normal
Ok nikamwambia haina neno tutaenda ..nikamvutia muda
Jana tukaenda Amref akafanyiwa counceling na kumchukua damu kwa kutumia vipimo viwili ..
Kipimo cha kwanza kikaonyesha postive kingine nigative wakaitana na kuamua warudie tena majibu yakatoka vile vile
mmoja akasema hana ,mwingine akawa hana uhakika ,nimeambiwa nimrudishe baada ya miezi mitatu..
Kinachonichanganya mie naenda job asubuhi sana na kurudi jioni sana binti huyu ndo anamwandaa mtoto kwenda shule na kazi nyingine nakosa amani ingawa nimeshamwambia awe makini na kazi zake mpaka hapo atakapocheki tena
Je inawezekana ni mzima?
lakini inawezekanaje kipimo kimoja kiaonyesha postive na kingine negative??
 
Jaribu kwenda hosp nyingine ukampime tena.

Hii ya wasichana wa kazi kuwa na hili tatizo imemkuta hata jirani yangu.
dada alikuwa na uvimbe unaojirudia rudia kwenye mguu, japo alikuwa hajawahi kusema lolote kwa mother house,
alipougua last two weeks wakaenda na mama mwenye nyumba tumbi hosp. kupima dada ni mgonjwa tena kinga ya mwili wake imeshuka sana.

Hapo kasheshe nahisi father house naye alishalamba, wakabebana familia yote kwenda kupima, majibu sikufuatilia kwani niliona haitanisaidia.

Kumbuka kuwa kuna watoto watatu, mmoja alizaliwa dada akiwa hapo hapo na wengine ni wakubwa kidogo tu.

Kwa hiyo inavyoonyesha ni lazima waja kazi nao wapitishwe kwa mkemia mkuu ndo wapewe offer.
duuuuh mungu awapitishie mbali jamani
 
Wapendwa hebu nisaidieni juu ya hili...
Binti yangu wa kazi mwenyeji wa Sehemu za Ngara kila nikienda likizo na yeye nampa likizo...
jmos karudi toka kwao akiwa mnyonge na amepungua sana ,nikaomba kujua linalomsibu,
Bila shida akanambia dada nina tatizo
tarehe 4-1-2013 nilipima huko kwetu ikaonekana nimeathirika akaanza kupiga mayowe ..nilitaka kujiua ila mungu tu kanisaidia
Sasa naomba nisaidie twende kupima ili nihakikishe kama ni kweli maana Dr aliyenipima aliwahi kunitongoza sasa sijui labda alikuwa anatania,,nikambembeleza na kumpa maneno ya matumaini mpaka akarudi normal
Ok nikamwambia haina neno tutaenda ..nikamvutia muda
Jana tukaenda Amref akafanyiwa counceling na kumchukua damu kwa kutumia vipimo viwili ..
Kipimo cha kwanza kikaonyesha postive kingine nigative wakaitana na kuamua warudie tena majibu yakatoka vile vile
mmoja akasema hana ,mwingine akawa hana uhakika ,nimeambiwa nimrudishe baada ya miezi mitatu..
Kinachonichanganya mie naenda job asubuhi sana na kurudi jioni sana binti huyu ndo anamwandaa mtoto kwenda shule na kazi nyingine nakosa amani ingawa nimeshamwambia awe makini na kazi zake mpaka hapo atakapocheki tena
Je inawezekana ni mzima?
lakini inawezekanaje kipimo kimoja kiaonyesha postive na kingine negative??
mpeleke hosptal binafsi nzuri kama 3 hivi
 
Dah! Inabidi uchukue jukumu la kumpima upya hosp. Tofauti tofauti
 
uko ulipompeleka inawezekana bado wanatumia kile kipimo cha zamani cha kubahatisha kilichopigwa marufuku
mpeleke muhimbili, Aga khan, hindu mandal au TMJ ukafanyiwe vipimo vya uhakika!
Achana na vipimo vya buku mbili, vitakudanganya!
 
A test after three months is the best solution. Sometimes if someone has just got infected it is indeterminant. Some tests come out positive while others are negative when some one has just been infected. Try after 3 months and 6 months for the best results.
 
A test after three months is the best solution. Sometimes if someone has just got infected it is indeterminant. Some tests come out positive while others are negative when some one has just been infected. Try after 3 months and 6 months for the best results.
Word!

Kwa hilo suala la kushinda na mtoto mmmhhhhh!...pana kazi kidogo...inabidi uwe mpole sana kwake, usije ukamkata hela za mshahara kisa kavunja glass zako, atalipiza kisasi kwa njia isiyofaa!
 
kama kipimo cha kwanza ni positive na cha pili ni negative. majibu ya kipimo cha pili ndiyo muhimu. Hivyo yupo negative. Hata hivyo fuata ushauri kama walivyokuelekeza: Rudi baada ya miezi mitatu.
 
FirstLady1 Kipimo hivyo walitumia Methodology au techniques gani? The most accurate so far ni"By Determine & Un-Gold Technique" na apime HIV I and II Antibodies.
 
wapenzi huyu binti yangu nimempeleka Amref(Angaza kwani niliamini wa ni best..kabisa na ndio maana wao walishauri nimrudishe baada ya miezi mitatu ..
 
FirstLady1 Kipimo hivyo walitumia Methodology au techniques gani? The most accurate so far ni"By Determine & Un-Gold Technique" na apime HIV I and II Antibodies.
HIV-1-2-Rapid-Diagnostic-Test-Kit.jpg



KAPIMA KWA KUTUMIA VIPIMO KAMA HIVYO AMREF
 
Hilo ni jambo la kawaida sana,linatokea mara nyingi tu,sema tu ni kwa vile clients huwa hawaambiwi kinachoendelea.Na ndio maana kuna vipimo viwili,cha kwanza kinaweza kuonesha positive hata kwa non-HIV infections (sometimes hata kwa syphilis)ndio maana kuna kipimo cha pili ili kuconfirm.Anyway,siku hizi kuna vipimo vya aina mbalimbali vya HIV, lakini hata hivyo vipimo vilivyotumika hapo bado vinatoa majibu mazuri tu.It is unlikely kumkuta mtu yuko positive halafu kikatokea hata kimoja kikasoma negative.So,ukiona kuna dilemna ya namna hii,usully it is less likely kuwa na HIV,na ndio maana unaambiwa kurudi baada ya miezi mitatu kupima tena,kwa maana nyingine ni kwamba wewe bado ni negative!
 
mkuu mpeleke hospitali ya wilaya yako na muulizie mteknolojia wa maabara wa wilaya au mratibu wa ukimwi wa wilaya.watampima na kuamua hatua zinazotakiwa kufuatwa.
Kuna muongozo maalum wa suala hili.
Nina wasiwasi na uelewa wa hao wahudumu wa AMREF!
 
HIV-1-2-Rapid-Diagnostic-Test-Kit.jpg



KAPIMA KWA KUTUMIA VIPIMO KAMA HIVYO AMREF

Hivyo vyembamba vitatu(bkue/white) vinaitwa detrmine hivi viko very sensitive.They are prone to give false positive results.They can react to non-HIV infections.Na hiyo viwili vinene(white) vinaitwa Bioline,they are standard for confirmatory.Kwa hiyo vinatumika kwa pamoja ili kutoa majibu ya uhakika
 
Back
Top Bottom