FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Wapendwa hebu nisaidieni juu ya hili...
Binti yangu wa kazi mwenyeji wa Sehemu za Ngara kila nikienda likizo na yeye nampa likizo...
jmos karudi toka kwao akiwa mnyonge na amepungua sana ,nikaomba kujua linalomsibu,
Bila shida akanambia dada nina tatizo
tarehe 4-1-2013 nilipima huko kwetu ikaonekana nimeathirika akaanza kupiga mayowe ..nilitaka kujiua ila mungu tu kanisaidia
Sasa naomba nisaidie twende kupima ili nihakikishe kama ni kweli maana Dr aliyenipima aliwahi kunitongoza sasa sijui labda alikuwa anatania,,nikambembeleza na kumpa maneno ya matumaini mpaka akarudi normal
Ok nikamwambia haina neno tutaenda ..nikamvutia muda
Jana tukaenda Amref akafanyiwa counceling na kumchukua damu kwa kutumia vipimo viwili ..
Kipimo cha kwanza kikaonyesha postive kingine nigative wakaitana na kuamua warudie tena majibu yakatoka vile vile
mmoja akasema hana ,mwingine akawa hana uhakika ,nimeambiwa nimrudishe baada ya miezi mitatu..
Kinachonichanganya mie naenda job asubuhi sana na kurudi jioni sana binti huyu ndo anamwandaa mtoto kwenda shule na kazi nyingine nakosa amani ingawa nimeshamwambia awe makini na kazi zake mpaka hapo atakapocheki tena
Je inawezekana ni mzima?
lakini inawezekanaje kipimo kimoja kiaonyesha postive na kingine negative??
Binti yangu wa kazi mwenyeji wa Sehemu za Ngara kila nikienda likizo na yeye nampa likizo...
jmos karudi toka kwao akiwa mnyonge na amepungua sana ,nikaomba kujua linalomsibu,
Bila shida akanambia dada nina tatizo
tarehe 4-1-2013 nilipima huko kwetu ikaonekana nimeathirika akaanza kupiga mayowe ..nilitaka kujiua ila mungu tu kanisaidia
Sasa naomba nisaidie twende kupima ili nihakikishe kama ni kweli maana Dr aliyenipima aliwahi kunitongoza sasa sijui labda alikuwa anatania,,nikambembeleza na kumpa maneno ya matumaini mpaka akarudi normal
Ok nikamwambia haina neno tutaenda ..nikamvutia muda
Jana tukaenda Amref akafanyiwa counceling na kumchukua damu kwa kutumia vipimo viwili ..
Kipimo cha kwanza kikaonyesha postive kingine nigative wakaitana na kuamua warudie tena majibu yakatoka vile vile
mmoja akasema hana ,mwingine akawa hana uhakika ,nimeambiwa nimrudishe baada ya miezi mitatu..
Kinachonichanganya mie naenda job asubuhi sana na kurudi jioni sana binti huyu ndo anamwandaa mtoto kwenda shule na kazi nyingine nakosa amani ingawa nimeshamwambia awe makini na kazi zake mpaka hapo atakapocheki tena
Je inawezekana ni mzima?
lakini inawezekanaje kipimo kimoja kiaonyesha postive na kingine negative??