Snitchertz
Member
- Dec 15, 2014
- 26
- 13
Mambo zenu wanajamvi,mimi nataka kujua kuna hizi test za HIV,wanapima kwa kutumia vikaratasi vya kuchora lines,mfano wa pregnancy test...
Nachotaka kyjua how much % accuracy they are...?Kwa walio na experience navyo tafadhali naomba msaada.
Mambo zenu wanajamvi,
Mimi nataka kujua, kuna hizi test za HIV, wanapima kwa kutumia vikaratasi vya kuchora lines, mfano wa pregnancy test. Ninachotaka kujua, how accurate are they? Kwa walio na experience navyo tafadhali naomba msaada.
Nasikia vinauzwa madukani siku hizi. Duka gani naweza kukipata hiki kipimo?
Mambo zenu wanajamvi,
Mimi nataka kujua, kuna hizi test za HIV, wanapima kwa kutumia vikaratasi vya kuchora lines, mfano wa pregnancy test. Ninachotaka kujua, how accurate are they? Kwa walio na experience navyo tafadhali naomba msaada.
Kuna aina mbili, kuna Bioline ambazo sio accurate sana coz hata ukiwa na malaria sugu inasoma, lkn Determine is very accurate mkuu once it test positive no need to confirm again
Rapid test DERTAMINE for HIV ni Antibody agenst Antigen test ambazo hizo Antibody huwa zinazalishwa na mtu aliye ambukizwa HIV virus withn three weeks after expouser
HIV tests are illusions!
Huwezi kuwa na test inayo test kitu kisichokuwepo?
Ni nani anaweza kuniambia ni kitu gani kinasababisha ugonjwa fulani?Obviously hakuna atakayeweza kujibu.Kwa kuwa kitu gani hakiwezi kusababisha ugonjwa fulani.Kama HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi,hivyo basi jina lake halina maana na ni batili.Kupima HIV ni sawa na kutaka kujua rangi ya upepo.
Cha msingi hapa sasa,ni kujiuliza,kama HIV hasababishi ukimwi,je,ukimwi tunaouona unasababishwa na nini?
Jibu lake ni fupi sana lakini linaweza kusababisha mijadala mingi sana na bado watu wasielewe.Jibu lake ni Lifestyle na madawa ya hospitali hasa ARVs.Ukiwa na lifestyle nzuri na uepukane na ARVs huwezi kupata ukimwi maisha yako yote.HIV ni mwamvuli tu ambao umesingiziwa kusababisha magonjwa zaidi ya 30 kama yupo mwilini,lakini kama hayupo mwilini sababu maalam za magonjwa hayo zinahusika zenyewe.