Duh,vipi bado upo?Naona unaibua issue moja baada ya nyingine,je unaweza kujibu kuhusu hizo mails unazopata kutoka kwa RA,je kuna ukweli wowote?
Vp kuhusu na huyu mtu wanamuita eti Hiv carrear inakuje kuwaje!
Ata me napenda kuelewa kuhusiana na hili
Kwa ufahamu wangu ni mtu mwenye HIV lakini miaka yote ye huwa haumwi wala hadevelop UKIMWI na anaweza kuwaambukiza wengine pia,wanaugua,wanapona,wanaugua,wanakufa,yeye yupo tu
Kwa ufahamu wangu ni mtu mwenye HIV lakini miaka yote ye huwa haumwi wala hadevelop UKIMWI na anaweza kuwaambukiza wengine pia,wanaugua,wanapona,wanaugua,wanakufa,yeye yupo tu
Mfano wa magonjwa ambayo Determiner ni sensitive ni yepi? Na ikiwa inatokea baada ya miaka mitatu vipimo vyote yaani determiner na unigold vinasoma positive na hajawahi kusex na mtu zaidi ya mkewe na huyo mkewe siku zote za vipimo ni negative, hiyo inakuaje?
Mfano wa magonjwa ambayo Determiner ni sensitive ni yepi? Na ikiwa inatokea baada ya miaka mitatu vipimo vyote yaani determiner na unigold vinasoma positive na hajawahi kusex na mtu zaidi ya mkewe na huyo mkewe siku zote za vipimo ni negative, hiyo inakuaje?