HIV test

determine+unigold.. 99% ni majibu ya kweli,, false +ve labda ukitumia determine tu... yafaa upime zaidi ya kituo kimoja na kila baada ya miezi 3 ufanye vpmo atleast kwa mwaka mzima utajua uko vipi
 
Vp mi wa group O+ naweza pata ngoma?
Make huwa siugui magonjwa mengine mara kwa mara.
 
Vp mi wa group O+ naweza pata ngoma?
Make huwa siugui magonjwa mengine mara kwa mara.

Mkuu KakaJambazi hata mimi nina bld grp O+ ila ngoma haichagui bld grp yoyote,unaweza kupata ndio

Ila wengi wa careers ni wa blood group O+
 
Last edited by a moderator:
Bandihujapimampakasasaaa usipimetenaukofitmpwaumepata TKT yatigoconcert
 
Mkuu KakaJambazi hata mimi nina bld grp O+ ila ngoma haichagui bld grp yoyote,unaweza kupata ndio

Ila wengi wa careers ni wa blood group O+

Nop carriers wengi ni o-,na ndio group la damu Kombozi kwa magroup yote ya damu unayoyajua
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…