Maini.Na mfupa unakuwepo?
HahahahahHahaha,vyuma baba,vyuma
Mkuu mimi nilikuwa napika wali mseto yaani nakaanga kitunguu swaumu na kitunguu maji afu naweka maharage na tupia mchele daah ilikuwa ni shida asubuhi nanunua maziwa napika chai nakula kiporo changu kinakuwa kitamu balaa nimeyamic maisha ya sanawari kwakweliKwa chapati yanaenda vizuri.
Siku jaribu kuanza na swaumu na iliki pia.
karibu tena aseeh...Mkuu mimi nilikuwa napika wali mseto yaani nakaanga kitunguu swaumu na kitunguu maji afu naweka maharage na tupia mchele daah ilikuwa ni shida asubuhi nanunua maziwa napika chai nakula kiporo changu kinakuwa kitamu balaa nimeyamic maisha ya sanawari kwakweli
Jaribu mkuu bonge moja ya msosi wa kibachelakaribu tena aseeh...
hiki chakula sijawahi aseeh... itabidi siku mama klaree akisafiri nikijaribu kisirisiri.
Sanawari ipi ulikaaJaribu mkuu bonge moja ya msosi wa kibachela
Juu ya sokoni hapo mkuu kabla hujafika darajaniSanawari ipi ulikaa
Oouh hiyo ya chini... mimi napita juu.Juu ya sokoni hapo mkuu kabla hujafika darajani
Kwetu tunalima mchunga na sokon unauzwa kama mboga, upish wake ndo tatzo kuna hatua nyingi kama kutuma au kutoa hela tigo pesa au m pesaHali ni ngumu, mchunga pia utakuwa mboga ya taifa wakati kwa wengi ni majani ya sungura.
Huwa nikipika mseto wa maharage familia haishibi Kwa utamu huo ni balaa watu wengi hawajuiMkuu mimi nilikuwa napika wali mseto yaani nakaanga kitunguu swaumu na kitunguu maji afu naweka maharage na tupia mchele daah ilikuwa ni shida asubuhi nanunua maziwa napika chai nakula kiporo changu kinakuwa kitamu balaa nimeyamic maisha ya sanawari kwakweli
Jaribu hutajuta itabidi umfundishe mama klareekaribu tena aseeh...
hiki chakula sijawahi aseeh... itabidi siku mama klaree akisafiri nikijaribu kisirisiri.
I'll try.. wengi mmelipigia kampeni hili itabidi nikajaribu.Jaribu hutajuta itabidi umfundishe mama klaree
Nimepumzika kulipika maana linaharibu budget ya mchele[emoji13]I'll try.. wengi mmelipigia kampeni hili itabidi nikajaribu.