masanzu
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 605
- 217
Hi wana jf
kama kuna vitu huwa sina majibu navyo moja wapo ni hivi ETI HAWA VIRUS WA HIV huishi kwa mda wa masaa mangapi wakiwa nje ya mazingira yao ya kila siku?
2-JE SABUNI ZA KAWAIDA HIZI TUTUMIAZO MAJUMBA ZINAUWEZO WA KUWAANGAMIZA HASA TUSHIKAPO KWA BAHATI MBAYA DAMU YA MWASIRIKA WA HIV???
tafadhali naomba kuwasilish
kama kuna vitu huwa sina majibu navyo moja wapo ni hivi ETI HAWA VIRUS WA HIV huishi kwa mda wa masaa mangapi wakiwa nje ya mazingira yao ya kila siku?
2-JE SABUNI ZA KAWAIDA HIZI TUTUMIAZO MAJUMBA ZINAUWEZO WA KUWAANGAMIZA HASA TUSHIKAPO KWA BAHATI MBAYA DAMU YA MWASIRIKA WA HIV???
tafadhali naomba kuwasilish