Solar Power nakushukuru sana kwa hii thread yako make inatukumbusha mbali na mambo mengi sana ambayo tumekuwa tukilambishwa na hawa wana si-hasa wa Bongo land. Nadhani huu ni wakati muafaka wa kuanza kudai utekelezaji wa ahadi zetu kwa kuanzia kwa Waheshimiwa Madiwani, Wabunge na huyo mkuu wa Kaya. Tukianza taratibu, tunaweza kuweka mpango mkakati kwa yeyote alieshindwa asithubutu hata kujaribu kurudi tena kwe2 kutuomba kura. Nafahamu J.K muda wake utakuwa umekwisha lakini tukijipanga vizuri inaweza ikawa na impact katika chama cha Magamba. Nawasilisha.