Hivi Aisha Madinda yupo wapi?!

homeboy Nextlevel nae yupo,naona anazipitia tu post
 
Majeruhi mkuu Fidel80, sasa hivi yuko kwenye rehab...soon atakuwa uwanjani!

Fidel80 ''amefichwa'',dataz zake ninazo ni jirani yangu huyu.naambiwa hayupo kabisa bongo
 
Dont look at death on selfish side......TUPAK SHAKUR

Hahahaha. Binamu acha tuwe kwenye selfish side. Vimwana vinazidi kuwa vizuri, ngoja tuvimegemege kabla uzee na jeneza havijatunyemelea.
 
Hahahaha. Binamu acha tuwe kwenye selfish side. Vimwana vinazidi kuwa vizuri, ngoja tuvimegemege kabla uzee na jeneza havijatunyemelea.

humo humo chief!naunga mkono hoja
 
He is kind of chilling, jana aliweka kambi kwenye ile thread ya Tshalla Muana hadi ilipofungiwa ndo akalog off!!

Mkuu ile ilikuwa balaa. Hii atafaidi kitovu tu. Muda si mrefu ataingia mjengoni.
 
He is kind of chilling, jana aliweka kambi kwenye ile thread ya Tshalla Muana hadi ilipofungiwa ndo akalog off!!

yeah!namuaminia sana huyu.Ni mtu wa kutafakari sana.unaweza kuta anazichukua post halafu anazifanyia PARTIAL DERIVATIVE
 
yeah!namuaminia sana huyu.Ni mtu wa kutafakari sana.unaweza kuta anazichukua post halafu anazifanyia PARTIAL DERIVATIVE

Hahahaha mkuu hapo umenena jambo. Lol!
 
Hahaha nitamwambia kuna jamaa anatumia ID yangu mpwa! na kumpa maelezo mengi kama ya Ikulu ya Salva Rweyemamu! Atapoa tu

Pale ikulu kwa maneno achana nao. Jana na daktari wa rais alitoa gazeti kuelezea prezidaa alivochemsha kuhutubia watumishi wa Mungu.
 
Pale ikulu kwa maneno achana nao. Jana na daktari wa rais alitoa gazeti kuelezea prezidaa alivochemsha kuhutubia watumishi wa Mungu.

HAHAHAHAHAHAHAH!nimecheka sana mazeya.ikulu is a pool of nadharia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…