Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio boda boda?Nadhani madereva wa mabasi ya mikoani hawatofautiani akili na madereva wa daladala!
Sio daladala, ni bodaboda watupu wale. Fujo barabarani utafikiri wao ndio wenye haki ya kutumia barabara.Nadhani madereva wa mabasi ya mikoani hawatofautiani akili na madereva wa daladala!
Au akili za Bodaboda.Nadhani madereva wa mabasi ya mikoani hawatofautiani akili na madereva wa daladala!
Kama nimeona vizuri lile roli upande wa kushoto kama limepaki au limeharibikia sehemu mbayaDereva kama huyu mpaka sasa utakuta hajachukuliwa hatua.
Uyo wa lori kidogo angemchapa makofi ndio maana akatulia zake hapo hapo
Yutong hazina akili kama madereva wake, huwezi kumwona dereva wa Scania akujingika hivyoDereva kama huyu mpaka sasa utakuta hajachukuliwa hatua.
Uyo wa lori kidogo angemchapa makofi ndio maana akatulia zake hapo hapo
Sasa huyu mpumbavu akisababisha ajali utawasikia mainjinia uchwara wanasema barabara mbovu na finyu.Dereva kama huyu mpaka sasa utakuta hajachukuliwa hatua.
Uyo wa lori kidogo angemchapa makofi ndio maana akatulia zake hapo hapo.
View attachment 3089647