Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,057
- 7,611
Niende tu moja kwa moja kwenye mada husika. Niko najiuliza, hivi siku hizi huko shule watoto wetu wanafundishwaje aisee. Nauliza hivi maana toka majuzi sielewi mwanangu kaona nini na wapi. Amekuwa ananiuliza na hii leo ni mara ya pili, "Baba, rais anaongoza na nchi? nikajibu ndio mwanangu!
Akauliza tena, rais anawaongoza na wabunge na mawaziri? Hapo nilisita kidogo, ikabidi nimtafakari kwanza huyu mtoto analenga nini. Lakini kiutani utani hivi ikabidi nimjibu ili aridhike, nikamwambia ndio.. anawaongoza! Japo hili jibu langu sikulitoa kwa kuelewa moja kwa moja kama nimekidhi haja yake.
Sasa wadau naoma mnisaidie ili nikasahihishe kama nilikosea. Hivi Tanzania ukiwa rais ndo unaongoza na serikali ama serikali inaongozwa na nani, ama serikali yenyewe ndo inajiendesha tu?
Akauliza tena, rais anawaongoza na wabunge na mawaziri? Hapo nilisita kidogo, ikabidi nimtafakari kwanza huyu mtoto analenga nini. Lakini kiutani utani hivi ikabidi nimjibu ili aridhike, nikamwambia ndio.. anawaongoza! Japo hili jibu langu sikulitoa kwa kuelewa moja kwa moja kama nimekidhi haja yake.
Sasa wadau naoma mnisaidie ili nikasahihishe kama nilikosea. Hivi Tanzania ukiwa rais ndo unaongoza na serikali ama serikali inaongozwa na nani, ama serikali yenyewe ndo inajiendesha tu?