Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 739
Mambo madogo sana haya huna haja ya kubweka"Ukimperembaperemba mwanaume mwenzio kipo unachokitaka, utakipata!"
Mayweather si ni boxer. Bodyguards anawatumia wa nini???Ukiwa karibu na watu haina haja ya ulinzi jamii itakulinda Kiba anacheza mpira kikawaida Mchezaji mpira unakuwa mtu wa masera wote hivyo hakuna wa kukuzingua.
Sasa jamaa mwingine hana zaidi ya mziki kitu cha kumuweka karibu na jamii hivyo masera watakuwa wanammaindi wakikutana lazima watamkwala tu hadi hereni za pua.
Wewe unae? Tehe tehe teheTeh teh teh nauliza tu jamani kama huyu jamaa naye ana bodyguard sababu mara nyingi tunamuona diamond kila anapoenda ni lazima utamuona akiwa na njemba inayomlinda lakini kwa Alikiba sijawahi kumuona hata siku moja akiwa na bodyguard na ndio maana nauliza kama naye ana bodyguard wa kumlinda.
Dah, Wanyumbani ulivyomjibu safi kabisa, sasa ukilinganisha hiyo avatar na jibu unapata maana pana kidogo!Sifahamu....
Huko tena inatakiwa huwe nao zaidi na zaidi kutokana na mazingira yao sikiliza music wa Nas - Get yourself a Gun.Mayweather si ni boxer. Bodyguards anawatumia wa nini???
Kwani kuwa na boardguard au kutokuwa naye kunaongeza au kupunguza nini?Teh teh teh nauliza tu jamani kama huyu jamaa naye ana bodyguard sababu mara nyingi tunamuona diamond kila anapoenda ni lazima utamuona akiwa na njemba inayomlinda lakini kwa Alikiba sijawahi kumuona hata siku moja akiwa na bodyguard na ndio maana nauliza kama naye ana bodyguard wa kumlinda.
KabisaPumba
Unaweza kuwa na bodyguard. Ila Mungu ndo mlinda roho.