Hivi aliyetoa jina "beberu" kwa imoerialists aliwaza nini?

Hivi aliyetoa jina "beberu" kwa imoerialists aliwaza nini?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Ifike muda haya mambo yazungumzwe tena. Hivi hawa wazungu wakijua kuwa beberu ni mbuzi dume, tena lile dume haswa wanatuelewa vipi?

Pata picha beberu anapoomba mechi. Kwa lugha nyingine sisi dunia ya tatu ni mambuzi jike? Yaani... Hebu vuta picha tu. Sasa kama tumeshawapa hicho cheo tutegemee nini? Wanasema waswahili maneno huumba. Tumewaita hawa matapeli wa rasilimali kuwa ni mabeberu. Unadhani tunachomoka?
Yani rasilimali zetu ndio kama tuko kwenye "heat". Wanapokuja kuxiwinda ndio ile...pata picha beberu na makelele yake mengi.

Hata picha ya juzi ya Ruto na Biden ule ni ubeberu.

Bakita mje na jina lingine kwa hawa imperialists kwa lengo la kupunguza makali. Jina ambalo pia litawatweza kiasi fulani, nasi tupate unasiri wa kuwapuuza na kuwakabili
 
Ubeberu/ beberu ni imperialism/imperialist ni kiwango Cha juu Cha ubepari/capitalism.

Sifa
Uwekezaji nje ya mipaka, beberu la mbuzi imara hupanda nje ya zizi
Kuona fursa na kuinyakua, beberu likiona Dem mbuzi lazima limwagie nk
 
Ifike muda haya mambo yazungumzwe tena. Hivi hawa wazungu wakijua kuwa beberu ni mbuzi dume, tena lile dume haswa wanatuelewa vipi?

Pata picha beberu anapoomba mechi. Kwa lugha nyingine sisi dunia ya tatu ni mambuzi jike? Yaani... Hebu vuta picha tu. Sasa kama tumeshawapa hicho cheo tutegemee nini? Wanasema waswahili maneno huumba. Tumewaita hawa matapeli wa rasilimali kuwa ni mabeberu. Unadhani tunachomoka?
Yani rasilimali zetu ndio kama tuko kwenye "heat". Wanapokuja kuxiwinda ndio ile...pata picha beberu na makelele yake mengi.

Hata picha ya juzi ya Ruto na Biden ule ni ubeberu.

Bakita mje na jina lingine kwa hawa imperialists kwa lengo la kupunguza makali. Jina ambalo pia litawatweza kiasi fulani, nasi tupate unasiri wa kuwapuuza na kuwakabili
 
Ifike muda haya mambo yazungumzwe tena. Hivi hawa wazungu wakijua kuwa beberu ni mbuzi dume, tena lile dume haswa wanatuelewa vipi?

Pata picha beberu anapoomba mechi. Kwa lugha nyingine sisi dunia ya tatu ni mambuzi jike? Yaani... Hebu vuta picha tu. Sasa kama tumeshawapa hicho cheo tutegemee nini? Wanasema waswahili maneno huumba. Tumewaita hawa matapeli wa rasilimali kuwa ni mabeberu. Unadhani tunachomoka?
Yani rasilimali zetu ndio kama tuko kwenye "heat". Wanapokuja kuxiwinda ndio ile...pata picha beberu na makelele yake mengi.

Hata picha ya juzi ya Ruto na Biden ule ni ubeberu.

Bakita mje na jina lingine kwa hawa imperialists kwa lengo la kupunguza makali. Jina ambalo pia litawatweza kiasi fulani, nasi tupate unasiri wa kuwapuuza na kuwakabili
Hivi ulikuwa na haraka ya nini kuandika na kisha kuposti hoja yako bila kuhakiki usahihi wa uandishi wako pamoja na content logic ya unachoandika?

Hebu angalia title heading ya uzi wako.

Hilo neno la kiingreza ndani ya inverted commas "....." liko sawa kweli? Ni neno gani hilo na lina maana gani?
 
Hivi ulikuwa na haraka ya nini kuandika na kisha kuposti hoja yako bila kuhakiki usahihi wa uandishi wako pamoja na content logic ya unachoandika?

Hebu angalia title heading ya uzi wako.

Hilo neno la kiingreza ndani ya inverted commas "....." liko sawa kweli? Ni neno gani hilo na lina maana gani?
Title huwezi edit. Ni typing error kama zingine. Niliona ila sikuwa na option. Halafu beberu ni neno la kiswahili. Halafu inaonekana wewe ni mtu ambaye uko sahihi sana kwa kila jambo
 
Title huwezi edit.
Unaweza kurekebisha (edit) iwapo tu ungefanya proof reading kabla hujaposti hoja yako..
Halafu inaonekana wewe ni mtu ambaye uko sahihi sana kwa kila jambo
Haa🤔🤔🤔!!

Unauliza swali hili kwa kuwa tu nimekuambia usiwe na haraka ya kuposti kitu kabla ya kukihakiki...!!?

ALL IN ALL: Jibu la swali lako ni: NDIYO, siku zote niko sahihi!!.... Kuna ubaya kuwa hivi?
 
Unaweza kurekebisha (edit) iwapo tu ungefanya proof reading kabla hujaposti hoja yako..

Haa🤔🤔🤔!!

Unauliza swali hili kwa kuwa tu nimekuambia usiwe na haraka ya kuposti kitu kabla ya kukihakiki...!!?

ALL IN ALL: Jibu la swali lako ni: NDIYO, siku zote niko sahihi!!.... Kuna ubaya kuwa hivi?
Hakuna ubaya. Ukiangalia hiyo ni statement na sio swali. Nami kusema nilichobaini kuna ubaya?
 
Back
Top Bottom