Hivi ambao huwa wanasema Card B yuko vizuri kuliko Nick Minaj huwa mnatumia vigezo gani?

Hivi ambao huwa wanasema Card B yuko vizuri kuliko Nick Minaj huwa mnatumia vigezo gani?

Ngushi

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
9,065
Reaction score
18,358
Kwa muda mrefu kumekuwa na hiyo ligi kama card b kimuziki yuko vizuri kuliko Nick Minaj ila binafsi kila nikijaribu kusikiliza ngoma za huyu mwamama card b nashindwa kabisa kuzielewa nabaki nawashangaa tu wanaomlinganisha na Nick!

Kwa mtazamo wangu Nick yuko njema zaid kuliko card b na hata ukisema umuunganishe card b na wale shemeji zake(Migos crew) bado naona nick yupo juu!

Wale ambao mnafutilia mziki wa hawa wadada wawili mnasemaje?
 
Kwa mtazamo wako.naona mtazamo wao wamempa shavu Card..sasa nani anapaswa kumfuata mwenzake
Ni kweli Mkuu ni mtazamo wangu ila Kuna wakati nahisi labda yale yale ya kumtafutia mpinzani nick.... Kama kibongo kibongo zile team mbili ila aliyevizuri anaonekana tu
 
Card b anatafuna sana maneno,anatumia nguvu nying sana kurap
 
Tuwekee Nyimbo Za Cardi B na Nyimbo Za Nicki Minaj Tusikilize Then Tutoe Conclusion na Sio Kutuletea Maneno Matupu Tu
Kwa muda mrefu kumekuwa na hiyo ligi kama card b kimuziki yuko vizuri kuliko Nick Minaj ila binafsi kila nikijaribu kusikiliza ngoma za huyu mwamama card b nashindwa kabisa kuzielewa nabaki nawashangaa tu wanaomlinganisha na Nick!

Kwa mtazamo wangu Nick yuko njema zaid kuliko card b na hata ukisema umuunganishe card b na wale shemeji zake(Migos crew) bado naona nick yupo juu!

Wale ambao mnafutilia mziki wa hawa wadada wawili mnasemaje?
 
Kwa muda mrefu kumekuwa na hiyo ligi kama card b kimuziki yuko vizuri kuliko Nick Minaj ila binafsi kila nikijaribu kusikiliza ngoma za huyu mwamama card b nashindwa kabisa kuzielewa nabaki nawashangaa tu wanaomlinganisha na Nick!

Kwa mtazamo wangu Nick yuko njema zaid kuliko card b na hata ukisema umuunganishe card b na wale shemeji zake(Migos crew) bado naona nick yupo juu!

Wale ambao mnafutilia mziki wa hawa wadada wawili mnasemaje?
Me nadhani wanampa moyo cardi B, Nick Minaj yuko poa sana, flow yake zile lyrics zake sijaona kama Card B anaivana nae kiasi cha kumlinganisha, ni upepo tu ila ''kawaida sana" - nadhani ndo yale aliyosema 2pac "Cause the media is full of dirty tricks" aisee
 
Back
Top Bottom