Hivi ananipenda kweli huyu demu?

Hivi ananipenda kweli huyu demu?

Sharobaro la jf

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
237
Reaction score
325
Wakuu niaje mazee, kuna kademu kamoja ni karfk kangu tu, tumezoeana hata wiki 2 hazijaisha ila kameanza kunionyeshea vitu vya ajabu, kanaweza kunitumia sms ya uck mwema saa6 uck, mara saa12 asubuhi kakanitumia sms ya siku njema mimi nakasoma tu nakatafutia gia, leo nimekajarbu kukaambia baadae kanitembelee gheto kamegoma na kutoa sababu kibao,
Mabaharia hapo nitumie gia gani kukachakata haka ka manzi???
 
ameen
Mkuu inshu sio kuchakata tu, Bali unahangaika kujiongezea matatizo katika maisha yako Kwa kufunga maagano katika ulimwengu wa kiroho na kukuletea madhara katika maisha yako,

Huu ni wakati wa kutubu na kuacha maasi korona iweze kupitia mbali.
 
Acha Uhuni oa ule rahaa
IMG-20200423-WA0005.jpeg


Sent by IPhone
 
Sasa hapa unaomba ushauri wa nini?? Fanya uweke namba yake PM labda nimshauri aje ghetto kwako kesho.
 
Wakuu niaje mazee, kuna kademu kamoja ni karfk kangu tu, tumezoeana hata wiki 2 hazijaisha ila kameanza kunionyeshea vitu vya ajabu, kanaweza kunitumia sms ya uck mwema saa6 uck, mara saa12 asubuhi kakanitumia sms ya siku njema mimi nakasoma tu nakatafutia gia, leo nimekajarbu kukaambia baadae kanitembelee gheto kamegoma na kutoa sababu kibao,
Mabaharia hapo nitumie gia gani kukachakata haka ka manzi???
Mkuu mnafungua chuo lini?
 
Back
Top Bottom