Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Kama mchezo unaweza kuahirishwa bila sababu ya msingi, na TPLB wakaona ni sawa, ni hatari kwa ligi yetu
Kwahiyo timu isipokuwa tayari kucheza inajiamulia tuu kuahirisha mchezo kwa visingizo uchwara halafu Bodi itabariki kwa kusogeza tarehe ya mchezo mbele
Kuna mdau amesema Kanuni inasema "Timu isipofika uwanjani, basi timu pinzani itapatiwa alama 3 na magoli 3. Sasa kanuni hii ina maana gani kama kuna uwezekano wa kukaa na kuyamaliza na mchezo ukapangwa wakati mwingine, Kanuni hii ina maana gani?"
Kwa hili la Derby ya juzi Bodi ya Ligi imevunja kanuni
Swali muhimu ni NANI WA KUIWAJIBISHA? Maana huku ni kuharibu ligi, hamasa za watu zimekufa, watu waletoka mikoani kuja kuangalia ligi leo timu inaamua tuu kususa na Bodi inaona fresh tu? Hii sio sawa
Bodi bure kabisa hii
Kwahiyo timu isipokuwa tayari kucheza inajiamulia tuu kuahirisha mchezo kwa visingizo uchwara halafu Bodi itabariki kwa kusogeza tarehe ya mchezo mbele
Kuna mdau amesema Kanuni inasema "Timu isipofika uwanjani, basi timu pinzani itapatiwa alama 3 na magoli 3. Sasa kanuni hii ina maana gani kama kuna uwezekano wa kukaa na kuyamaliza na mchezo ukapangwa wakati mwingine, Kanuni hii ina maana gani?"
Kwa hili la Derby ya juzi Bodi ya Ligi imevunja kanuni
Swali muhimu ni NANI WA KUIWAJIBISHA? Maana huku ni kuharibu ligi, hamasa za watu zimekufa, watu waletoka mikoani kuja kuangalia ligi leo timu inaamua tuu kususa na Bodi inaona fresh tu? Hii sio sawa
Bodi bure kabisa hii