Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Huyu bondia ANTHONY BELLEW ambaye amepoteza pambano usiku wa leo dhidi ya mpinzani wake Oleksander USyka ni shoga au???
Inawezekana vipi mwanaume kumbusu mara mbilimbili mwanaume mwenzako tena upo comfortable kabisa???
ANTHONY Bellew pia hata aina za comments anazoziandika Instagram pamoja na Emojis anazotumia zimekaa kikike kike sana yani daah.
ANTHONY BELLEW ni rafiki mkubwa sana wa ANTHONY OLUWAFEMI OLASENI JOSHUA (AJ) sasa Anthony Joshua awe makini sana na huyu jamaa maana asije akaambukizwa tabia za kigay gay na huyu Anthony mwenzake.
Kwa wapenzi wa filamu, Anthony Bellew alishiriki pia katika filamu ya The Creed ambapo humo ndani pia wapo watu kama King Gabo Rosado,Michael Jordan,Sylivester Stallone (Rambo), ring announcer Mr Michael Buffer etc.
Inawezekana vipi mwanaume kumbusu mara mbilimbili mwanaume mwenzako tena upo comfortable kabisa???
ANTHONY Bellew pia hata aina za comments anazoziandika Instagram pamoja na Emojis anazotumia zimekaa kikike kike sana yani daah.
ANTHONY BELLEW ni rafiki mkubwa sana wa ANTHONY OLUWAFEMI OLASENI JOSHUA (AJ) sasa Anthony Joshua awe makini sana na huyu jamaa maana asije akaambukizwa tabia za kigay gay na huyu Anthony mwenzake.
Kwa wapenzi wa filamu, Anthony Bellew alishiriki pia katika filamu ya The Creed ambapo humo ndani pia wapo watu kama King Gabo Rosado,Michael Jordan,Sylivester Stallone (Rambo), ring announcer Mr Michael Buffer etc.