Shida iko wapi...??? Si waache kusikiliza tu...!!! Unajuwa kuna watu wanataka asichokipenda yeye basi dunia nzima isipende................aaahmxxiiiiiyo redio kiukweli haina hata maadili hata kidogo, japo wanasema ni redio ya vijana ila wapo vijana ambao hawapendi hiyo lugha ya kichenzi sasa unadhani itaheshimika vipi!
Hio ni Radio ya vijana Mwita25 hio Radio mara nyingi inaendeshwa very informal for ndo their style... Watu wazima wengi wanaosiia ndo wale vijana wa miaka la late 90s na early 2000; ambao they don't mind hio lugha...
kwa kifupi wasikilizaji wa redio hii ni vijana kuanzia form 1-6,wafanyakazi wa saluni za kike na kiume,wapenda bongo fleva, na kuna vipindi vya asubuhi na taarabu ambavyo walengwa ni mama wa nyumbani na mahausigeli.
Lakini kuna hichi kitoto Shadee nadhani hivi karibuni itabidi nichague watu 2-3 hapa JF mkapeleke barua ya posa kwao nimetokea kumpenda sana.
arrrg wewe nawe thread zako zimekaa ki saluni saluni mambo ya leo tena na umbea umbea acha hizo wewe.Acha thread zako za kike kikeJana kwenye taarifa ya habari ya saa 12 jioni nilisikia mtangazaji wao akisema '' mademu wawili wamefikishwa mahakamani mkoani Shinyanga kwa kosa la shambulio.........''. Hii lugha ya kihuni huwa inamlenga msikilizaji wa aina gani hasa? Hivi hii Radio ina mkuu wa vipindi kweli au kanyaga twende tu.
arrrg wewe nawe thread zako zimekaa ki saluni saluni mambo ya leo tena na umbea umbea acha hizo wewe.Acha thread zako za kike kike