Hivi Azam FC, Abubakar Salum 'Sure Boy' huwa anawapa nini zaidi kugharimu timu?

Hivi Azam FC, Abubakar Salum 'Sure Boy' huwa anawapa nini zaidi kugharimu timu?

Unalalamika kutukamwa ilhali we ndo unaanza kutukana, Nyani Asiyeona Kundule.

Nyie mijutu tunapowadharau tunakuwa tupo sahihi kabisa yaani.
una uhakika au unakurupuka?
Kaangalie Vizuri na acha makasiriko.
 
Huna ulijualo wewe punguani, ndo maana unajikanyaga, sasa umeelimisha unajifanya ulikuwa unajua.

Ukiona huelewi si lazima kukurupuka kila lililo mbele yako huo ni ufala hasa, na ulikuwa vichochoroni kwani uongo.

Chomoa mwiko huo nyuma yako huenda ukapata walau akili kidogo.
yaani platforms zote hizi hatuoni habari kweli eti unajidanganya ndio unajua wewe kweli wewe ni muhindi koko wa kwanza kuwa na ujinga.

Mimi nimekupa za uso basi kama imekuuma jikaze
 
Back
Top Bottom