Hivi Azam mnapohamisha kuonyesha mechi kwenda ZBC AU Azam Extra huwa mnamtaarifu nani ?

Hivi Azam mnapohamisha kuonyesha mechi kwenda ZBC AU Azam Extra huwa mnamtaarifu nani ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huwa nashangaa sana ninapoona mechi imetangazwa kuonyeshwa labda Azam Sports 2 , halafu muda unafika haionekani au imehamishiwa channel nyingine bila taarifa , hivi mnadhani ni nani ataota kwamba game hii iko channel ya ZBC 2 wakati mlitangaza kuwa itakuwa Azam Sports 3 ?

Kwa mfano , walitangaza kwamba game ya league 1 kati ya Rennes na Aj Auxerre ingeonyeshwa Azam Sports 3 , muda ulipofika game yenyewe hakuna Japo tangazo bado lipo , kumbe wameihamishia Azam Xtra ! sasa tutajuaje ? na hii si mara moja , huu ndio mchezo wao , hii kitu haikubaliki .

Badilikeni haraka sana , Ni kweli kwamba Azam ni yenu lakini sisi tunalipa hela zetu , msituburuze na tuheshimiane
 
Aisee mkurugenzi, hiyo Azam Sports 3 imeanza lini kuonekana kwenye kisimbuzi cha Azam? Ninachofahamu,kuna Azam Sports One Hd, na Azam Sports two Hd! Then inafuatia Utv!!
Rudi kachungulie
 
Back
Top Bottom