Una uhakika kama nimeingia juzi?? Kwani wewe iliyeingia zamani una VIP privilege??Umeingia humu juzi unasema huu mchezo ulianzishwa Na Wakenya.
Sisi ndio tunawasaidia nyie! Hakuna kitu Kenya imewahi kusaidia Tanzania!Baadhi yenu hamsaidiki. Kweli Inferiority complex imewameza kweli. Ni msaada tu mnahitaji
Ati kutusaidia? Kwa lipi?Sisi ndio tunawasaidia nyie! Hakuna kitu Kenya imewahi kusaidia Tanzania!
Usije kukurupuka ukasema abt Kenyan products zinazokuja tz maana huo sio msaada
Mkapa amewasaidia kuwasuruhisha kwenye 2007 post election violence.Ati kutusaidia? Kwa lipi?
Mkapa amewasaidia kuwasuruhisha kwenye 2007 post election violence.
Vipi nitaje na jingine?
Mi ni mtz lakn let be fair..umejibu hoja kisomi na bila bias yoyote. Wakenya wangekua na busara kama zako huu uchafu wa kutukanana na kuringiana haungeonekana humu jf. Instead tungejikita kwenye issues za maendeleo na kubadilishana skills..naamini kuna mambo mengi tz tunapaswa kujifunza kwenu mfano maswala ya entrepreneurs and the like. Likewise ninyi kenyans hata kama hamtak kuna mambo mnatakiwa kujifunza kwetu. Personal nawaheshim kwa hatua mliyofikia haswa ya uchumi na elimu thoug mna limited resources compare na tz lakn mmeweza kufikia kwwnye Middle income wakat tz bado tunapambana. Ni kwel wanaojisifu huku na kutukanana ukichunguza ni watu wakawaida. Wengi hatufaid hata level ya uchumi wa nchi tunaoringia. Tunapigana watoto wale na waende shule.Hii ni Kenyan forum; ikiwa kuna kasoro au uwongo kwa chochote kisemwacho, basi pinga ukizingatia mada iliyopo. Nikija niseme Kenya inatoa maziwa mengi duniani nzima, nipinge kwa data ikiwa unaona ni uwongo. Lakini usije ukasema Tanzania inatoa mchele mingi duniani nzima. Huo ni kutoelewa mada na unadhihirisha elimu duni.
Ikiwa nia tu ni kuleta ubishi kati wa TZ vs KE, huo ni utoto pia. Lakini, kuna wakati mwingine mada huletwa hapa kwa ajili ya analysis. Kwa mfano, Kama Wakenya, tunaona nini kuhusu uongozi wa Magufuli? Kuna wale ambao wanaisupport na kuna wale ambao wanaipinga. Kama tu vile kwenye Jukwa la Siasa huwa na mada kuhusu uchaguzi wa Kenya na Katiba ya Kenya. Sio eti mnaiponda Kenya, bali ni kuanalyze aina ya katiba na siasa kwa macho ya mtanzania. Ni upuuzi mie kama mkenya kupeleka mada za kikenya kwenye Jukwaa la Kisiasa
Mtu huenda kwenye majukwaa ambayo humfurahisha, ndio sababu hizi jukwa zilikuwa divided. Kilichonileta katika JF, ni Jukwaa la Lugha, na baadaye Jukwaa la Elimu. Nilidhani ya kuwa nitapata majadiliano ambayo yatafanana na zile nyuzi nilizozipata mtandaoni na amabazo zilinileta JF. Kilichoniudhi nilipata wengi tu michango zao ni za kitoto, kana kwamba wachangiaji wa hapo awali walishatoweka. Sub-forum ya kuchekesha ni ya mapenzi.
Kingine ni kuwa wengi hutemebelea majukwaa mengi ya TZ yakiwemo ya kisiasa lakini hatuwezi kucomment kwa kuwa tunajua vizuri sana hatuko informed ukilinganisha na wabongo wenyewe. Sina la kuwafunza kule; ni kujielimisha tu.
Wale wanaofanya mataifa haya mawili kushindana hawamo JF. Ni wanasiasa na watu wakubwa wenye kuamsha skyscrapper. Humu JF ni pahala pa kujielimisha na kutafuta njia ya kujindeleza maisha yetu. Haya mabishano ya JF ni ya wananchi wa kawaida ambao kila siku twajiuliza jinsi tutakavyolipa kodi ya nyumba na karo. Haina maana mie kujigamba kuhusu skyscrapper ambazo hata kazi ya mjengo sipati.
Asante Kwa mchango wako. Nitakwenda kule nipeleke malamishi yangu kuwa TZ news zibaki kwenye Jukwaa la kisiasa au Biashara.
Unapoishi ndo pachafu mkuu badilika otherwise utapata cholera. Wenzako tushabadilika. Dsm ya sasa sio ya mwaka 2000Mimi nimeishi Dar huu mwaka wa Ishirini, so nikisema Dar chafu nina uhakika na ninacho kisema.
Kujua kama sehemu ni chafu au safi unahitaji sense organs tu, huitaji kua genius kulijua hili.
Dar ni chafu sasa wewe ungana na hao watu wa nje wakati mimi mkaajaiwa eneo husika nimeona hili jiji ni chafu.
Kwa hiyo kusingekuwa na international pressure mngeendelea kuuana?International pressure ndio iliwafanya Raila na Kibaki kuingia kwenye mahojiano, na nchi kadhaa zilihusika katika kutatua zogo lile. Sio Tanzania pekee, hata waghana basi wanaweza kudai kuhusika katika kutatua zogo letu.
With or without Tanzania the matter would still have been resolved peacefully.
Taja mengine....
Kwa hiyo kusingekuwa na international pressure mngeendelea kuuana?
Mpaka hapo umeona jinsi tunavyowasaidia kwenye matatizo yenu! Ghana pia ilihusika, you can't deny Kofi Anan's role! Huo ni msaada!
Nikukumbushe kuwa katika selection wanatafutwa watu ambao ni competent, ndo maana mkapa was chosen in the first place!
Kwa hiyo huo ni msaada tuliwapa! Unakubaliana na hili kwanza?
Maybe yes, maybe no. It is hard to tell, at some point the two men would have arrived at a resolution. Kenyans at one point were begining to get tired of all the politics and wanted to move on with their lives.
But it is the international pressure which hastened the peace negotiations.
It is very ludicrous Tanzania to claim all the credit. Most of tge credit should go to the Kenyans themselves who listened to the counsel from the international community, and were committed to restoring the peace.
We aren't grabbing all the credits, what am saying is that we played a big role during the piece talks! I understand Mkapa wasn't alone, Koffi Anan plus many others helped Kenya by then!
BTW, if u say it was the international pressure which hastened the peace, tz is inclusive.
Kuna wenzio wanajua sisi ni wa kusaidiwa tu! that was my concernWe help each other out when in crisis. Kenya cannot sit back when Tanzania is faced with a similar humanitarian crisis, can it? Remember the massive landslide that killed an estimated 300 pipo in Uganda, the Somalia war and drought crisis, the earthquake in Tanzania, the ebola epidemic in west Africa......Kenya played its role to assist.
We all need each other, for no man, or country for that matter is an island.
Kuna wenzio wanajua sisi ni wa kusaidiwa tu! that was my concern
Hay guys, we are because you are and vise versa! You can live without a friend but not without a neighbor! And hectic times are always there for human beings and therefore bestows no cleverness nor foolishness to the survivors!Maybe yes, maybe no. It is hard to tell, at some point the two men would have arrived at a resolution. Kenyans at one point were begining to get tired of all the politics and wanted to move on with their lives.
But it is the international pressure which hastened the peace negotiations.
It is very ludicrous Tanzania to claim all the credit. Most of tge credit should go to the Kenyans themselves who listened to the counsel from the international community, and were committed to restoring the peace.
Kununua nafaka ni part of business, labda kuwe na punguzo maalum la bei au tax exemption!Na kuna wenzio wanaofikiri sisi ni wa kuaaidiwa tu. Hata tukinunua nafaka yao kwao wanaona ni usaidizi wametoa hapo