Hivi barua ya kiofisi unaisoma gengeni!

Rubbish.mnapowaapisha kwann mnatunyesha live
 
Usichokijua chadema sasa hivi wanaandaa tu mazingira ya kumpeleka jiwe the Hague na mpaka sasa wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa
 
Kutukana matusi ya nguoni hakuondoi ukweli kwamba Mbowe alifeli form iv na kupata div. zero, na kuvutwa BoT na Mtei baba mkwe wake, na yakamshinda akakimbilia u- DJ. na baadaye kuongoza SACCOS ya Baba mkwe wake. Kama akili zinakutosha utathubutuje kusoma barua ya siri hadharani? Ni ubwege
wapumbavu kama wewe hawatakaa waishe mpk mwisho wa dahari, aibu sana na hasara kwa waliokuzaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni mpumbavu sana kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ni mtu mdogo? Kweli ccm ni janga la Taifa kwa kuvuruga elimu, huyo ni waziri mkuu kivuli rudi darasani ng'ombe we.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumba
 
100% agree with you
 
Kujipendekeza ni mzigo.
 
Ukiwa na akili Timamu unawezatuma barua ya wazi na kuisoma mbele ya waandishi na unategemea majibu. Ndo ubovu wa elimu hapo!
 
Ukiwa na akili Timamu unawezatuma barua ya wazi na kuisoma mbele ya waandishi na unategemea majibu. Ndo ubovu wa elimu hapo!
Usipende kukariri,kama ni ya maana na msingi basi serikali ifanyie kazi,kama ni ya kipuuzi iyaweke kapuni,cha msingi ujumbe umefika!Shwain!
 

Wote tunajua mikataba ya raslimali za nchi hii ni siri ya viongozi na wawekezaji, ni kipi kilimfanya Magufuli aitishe mubashara juzi utiaji saini wa mkataba wa madini, ambao wanaojua kilichoko ndani ni yeye na viongozi wenzake, na kuishia kutuhubiria kilichoko ndani bila sisi wenyewe kujua kilichoko ndani? Kama mikataba ni siri na akaweka wazi utiaji saini ana tofauti gani na huyo Mbowe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…