Hivi Batilda Biriani alimkosea nini Magufuli?

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Huyu mwanamama alishawahi kuwa kwenye baraza la mawaziri wakati wa Kikwete na kupelekwa Kuwa Balozi wetu Japan.

Lakini rais Magufuli alipoapishwa tu na kuwa rais mara ya kwanza hata siku haikupita akamtumbua ubalozi na kumrudisha nyumbani.

Ni nini alimkosea Jiwe? Kwanini Jiwe asingesubiri walau hata wiki ama mwezi upite azoee urais halaf amfukuze ubalozi?

Siyo bure lazima kulikuwa na kitu.

johnthebaptist
 
Jina lake ni Batilda Buriani,
Hili la Biriani linaweza kueleweka vibaya kwa vijana wa kizazi hiki,
 
Batilda alikuwa ile timu ya " Zamu ya Upendo Kwaya Kijitonyama"

Ndio baadae akaona usiwe taabu akaolewa Zanzibar na kusilimu kabisa!
 
Batilda Burian kazaa na aliyekua mshindani mkuu wa Magu kwenye uchaguzi ule... mengine tunawastiri.
 
inawezekana jiwe alipochukua fomu kugombea urais, matilda alimdharau maana alikuwa ile timu ya lowasa. Na pia ana nyodo sana hata watu wa arusha mjini hawakutaka awe mbunge wao, hawakujali hata influence ya lowasa
 
Batilda alikuwa ile timu ya " Zamu ya Upendo Kwaya Kijitonyama"

Ndio baadae akaona usiwe taabu akaolewa Zanzibar na kusilimu kabisa!
Kwahiyo alitumbuliwa na jiwe kwasbb ya kusilimu au kulikua na sabb zaidi ya hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…