Jina lake ni Batilda Buriani,Mzuka wanajamvi!
Huyu mwanamama alishawahi kuwa kwenye baraza la mawaziri wakati wa Kikwete na kupelekwa Kuwa Balozi wetu Japan.
Lakini rais Magufuli alipoapishwa tu na kuwa rais mara ya kwanza hata siku haikupita akamtumbua ubalozi na kumrudisha nyumbani.
Ni nini alimkosea Jiwe? Kwanini Jiwe asingesubiri walau hata wiki ama mwezi upite azoee urais halaf amfukuze ubalozi?
Siyo bure lazima kulikuwa na kitu.
C Mjuaji johnthebaptist
Watadhani ni ule ubwabwa wa kiarabu.Jina lake ni Batilda Buriani,
Hili la Biriani linaweza kueleweka vibaya kwa vijana wa kizazi hiki,
Batilda alikuwa ile timu ya " Zamu ya Upendo Kwaya Kijitonyama"Mzuka wanajamvi!
Huyu mwanamama alishawahi kuwa kwenye baraza la mawaziri wakati wa Kikwete na kupelekwa Kuwa Balozi wetu Japan.
Lakini rais Magufuli alipoapishwa tu na kuwa rais mara ya kwanza hata siku haikupita akamtumbua ubalozi na kumrudisha nyumbani.
Ni nini alimkosea Jiwe? Kwanini Jiwe asingesubiri walau hata wiki ama mwezi upite azoee urais halaf amfukuze ubalozi?
Siyo bure lazima kulikuwa na kitu.
C Mjuaji johnthebaptist
Labda alimuomba akapigwa chini wakati alikuwa waziri.Jiwe alikuwa na roho mbaya hiyo inatosha
Batilda Burian kazaa na aliyekua mshindani mkuu wa Magu kwenye uchaguzi ule... mengine tunawastiri.Mzuka wanajamvi!
Huyu mwanamama alishawahi kuwa kwenye baraza la mawaziri wakati wa Kikwete na kupelekwa Kuwa Balozi wetu Japan.
Lakini rais Magufuli alipoapishwa tu na kuwa rais mara ya kwanza hata siku haikupita akamtumbua ubalozi na kumrudisha nyumbani.
Ni nini alimkosea Jiwe? Kwanini Jiwe asingesubiri walau hata wiki ama mwezi upite azoee urais halaf amfukuze ubalozi?
Siyo bure lazima kulikuwa na kitu.
johnthebaptist
inawezekana jiwe alipochukua fomu kugombea urais, matilda alimdharau maana alikuwa ile timu ya lowasa. Na pia ana nyodo sana hata watu wa arusha mjini hawakutaka awe mbunge wao, hawakujali hata influence ya lowasaMzuka wanajamvi!
Huyu mwanamama alishawahi kuwa kwenye baraza la mawaziri wakati wa Kikwete na kupelekwa Kuwa Balozi wetu Japan.
Lakini rais Magufuli alipoapishwa tu na kuwa rais mara ya kwanza hata siku haikupita akamtumbua ubalozi na kumrudisha nyumbani.
Ni nini alimkosea Jiwe? Kwanini Jiwe asingesubiri walau hata wiki ama mwezi upite azoee urais halaf amfukuze ubalozi?
Siyo bure lazima kulikuwa na kitu.
johnthebaptist
Weka wazi mkuu nani huyo ...Batilda Burian kazaa na aliyekua mshindani mkuu wa Magu kwenye uchaguzi ule... mengine tunawastiri.
Mkuu usidhani ni ule ubwabwa wa kiarabuBiriani duhh
Mkuu usidhani ni ule ubwabwa wa kiarabu
Kwahiyo alitumbuliwa na jiwe kwasbb ya kusilimu au kulikua na sabb zaidi ya hiyo?Batilda alikuwa ile timu ya " Zamu ya Upendo Kwaya Kijitonyama"
Ndio baadae akaona usiwe taabu akaolewa Zanzibar na kusilimu kabisa!
Mbona Yuko Tabora,ni mkuu wa mkoa huku🤣🤣sema kapooza Sana aiseehUnamtafutia kazi? Mama atamkumbuka
Acha uon g oBatilda Burian kazaa na aliyekua mshindani mkuu wa Magu kwenye uchaguzi ule... mengine tunawastiri.