Darkish
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 326
- 364
Leo nimelipia umeme na kupata unit chache. Baada ya kufanya mahesabu nikagundua unit moja sasa ni shilingi 379 toka 356, hii ina maana hizo token 60 zimekuja na mabadiliko ya bei pia.
Je, wadau ni kweli hata nyie haya mabadiliko ya bei yamewafikia?
Soma Pia: Wabunge wataka makali bei ya umeme ipungue
Je, wadau ni kweli hata nyie haya mabadiliko ya bei yamewafikia?
Soma Pia: Wabunge wataka makali bei ya umeme ipungue