Hivi benki za wenzetu wanapataje faida? wanafanya kitu gani kisichoweza kufanywa na benki zetu?

Kaundime2

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
1,085
Reaction score
459
jamani hizi benki zetu sasa kila kitu tunakatwa!!
apa natolea mfano benki yangu ya CRDB
kila kitu sasa ni kulipia sijaona cha bure kwa kweli
ata salio kuuliza pale kaunta ni kulipia mwee

najiuliza mbona benki za wenzetu majuu hazina makato aya??
wao wamejipanga vipi kupata faida ambacho sisi atuwezi??
benki zetu zinatukamua sana jamani khaa
mawazo yenu tafazali
 
Hayo makato ndio faida yao, hivi umesikia benki zetu wanafanya hasara?
 
kuna vingne vya bure.join access bank.u want your account while at home? Call 0718247575
 
kuna vingne vya bure.join access bank.u want your account while at home? Call 0718247575

Mh nna wasiwasi ww utakuwa tapeli, Yaani afungue account akiwa nyumbani......, Then namba ulizompa ni za mobile phone. . . . bora zingekuwa za simu za ofisini kidogooo ingeniingia akilini...!

Ni mtazamo tuu mkuu usin-mind sana!
 
Mh nna wasiwasi ww utakuwa tapeli, Yaani afungue account akiwa nyumbani......, Then namba ulizompa ni za mobile phone. . . . bora zingekuwa za simu za ofisini kidogooo ingeniingia akilini...!

Ni mtazamo tuu mkuu usin-mind sana!

Unajua kiingereza wewe? Hapo kauliza
 
Mtoa mada usipate tabu njoo kwetu, kuangalia salio kaunta free, kuangalia salio kwa simu yako free, hatuna makato ya kila mwezi (ukiacha 20,000 hata miez 6 utaikuta hivyo hivyo), hatuna minimum balance. Mikopo riba nafuu....nakupa mfano:-
Ukikopa mil 3 utarudisha 310,000/- kwa,miez 12. Kuna benki fulani ukikopa mil 3 unarudisha 350,000 kwa miez 12. Hawaisadii jamii ila wanakandamiza.
Karibu sana.....ni PM nikupokee ofisini. Njoo na ID yako tu.
 
Njooni islamic bank kwetu riba haram
 
1-banks faida nyingi inatokana na interest rates za mikopo (personal loans, mortgages, car loans etc).

interest za mikopo zinakuwa juu kuliko savings accounts. mfano ukideposit hela kwa savings unapata riba ya 1% ukichukua mkopo interest ni 6%....hiyo margin ndo faida

2-also kuna fees kama overdraft fee, check bounce fees, etc
3-wanauza shares na bonds

tena hizo za bongo nasikia ukichukua mkopo wa nyumba interest rate ni 20%.....huo ni wizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…