Eeeh walikua wanayasifia sana. Na bei ilikua si habaHivi watu walikuwa wanayala hayo mayai?
Nasty!
unganisha na biashara ya kuku wa kuchi, na kikombe cha babu wa loliondo, vyote hivyo vinaendana, ni dugu moja.Hii biashara ilivuma sana hasa ikihusisha na nguvu za kiume na watu walipiga hela sana kwa kuanzisha ufugaji wa kware na kuuza mayai yake lakini sasa naona kimyaa. Watu wakianza kuvumisha kitu hasa kukihusisha na nguvu za kiume kinapata soko sana. Akiibuka mtu leo na kusema mayai ya nyoka yanaongeza nguvu za kiume msako mkali utaanza kutafuta mayai ya nyoka popote mashimoni na mapangoni na ukitaka watu waanze kufuga nyoka tangaza kuwa mayai yake yanaleta nguvu za kiume
isije wakaibua mkojo wa kuku au jasho la kunguru. nchi iliyolelewa kwa ushirikia ina mambo aisee.Sijui itakuja nini Kingine....au mayai ya kenge
Ova
Dah ile heading ukiisoma ilikuwa inazuzua hatari,Iliisha
Pia Hii Ilikuwa Kama Forex
MkuuDah ile heading ukiisoma ilikuwa inazuzua hatari,
"... Biashara yenye utajiri ambayo hakuna bank itataka uijue.. "
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
Bahati mbaya sikuwa na hela kipindi hicho nahic nngeunguzaga account aisee