Kwenye mpira hawaangalii kombe wanachoangalia timu hadi kufika hatua ya fainal itakuwa imetengeneza pesa kiasi gan kombe hata walipwe Tsh5000 timu zote zipo tayar kushiriki
Dah, EPL hela zinamwagika si kitoto, yaani Sunderland anaeshuka daraja analamba hela ndefu kuliko bingwa wa ujerumani, italy, ufaransa na champions league?
Ndio maana hata wachezaji wakitakiwa na timu za england bei inapanda mara dufu