Hivi Bongo hakuna mwenye huu mzigo?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
4,208
Reaction score
14,143
Huu mzigo sijawahi uona machoni vipi hakuna anayeumiliki tupige nao hata picha tu.

 
Escalade si zipo hata Diamond anazo

Nyingi kama hizo huwa zinakua customized si unaona kama hiyo ina starlight headliner ambazo huwa zipo kwenye Rolls Royce
 
Mzee wa upako anayo tena number C kama sikosei
 
Kama unataka hizo gari nenda Parking ya Billionaire wa JF anaitwa Billionaire Lugano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…