Hivi bora nini kati ya haya?

Habari wakuu.

Naimani wote ni wazima wa afya.

Swali nikwamba ivi bola kufanya nini Kati ya haya mambo mawili.

1. Kusomesha mwanamke.
2. Kujenga Ukweni.
Hakuna bora hapo... Unless otherwise angalau mwanamke awe mkeo
 
Abda uamue kutoa msaada bila matarajio yoyote lkn kama unatarajia , Ndg pole sana upande wangu nafanya kama kwa yatima tu.
 
Abda uamue kutoa msaada bila matarajio yoyote lkn kama unatarajia , Ndg pole sana upande wangu nafanya kama kwa yatima tu.
Hapana mkuu ni katika kujadili tu bola nini kati ya hivyo lakini Hakuna kinacho nihusu hapo
 
Habari wakuu.

Naimani wote ni wazima wa afya.

Swali nikwamba ivi bola kufanya nini Kati ya haya mambo mawili.

1. Kusomesha mwanamke.
2. Kujenga Ukweni.
Wewe unaona kipi ni shida
 
Habari wakuu.

Naimani wote ni wazima wa afya.

Swali nikwamba ivi bola kufanya nini Kati ya haya mambo mawili.

1. Kusomesha mwanamke.
2. Kujenga Ukweni.
Kama umekosa kabisa kazi ya kufanyia hiyo zaa ujaze dunia kisha somesha watoto. Utakuwa na uzao mkubwa ambalo ni agizo la Mungu kuijaza dunia
 
Hayo yote yana heri and shari yake. Fanya kile ambacho unaweza kuhimili shari yake kama kuna ulazima wa kufanya.
Sawa mkuu so wewe huwez fanya chochote hapo
 
Kama nimeamua kutoa sadaka, kama ambavyo labda unawapa misaada mingine sawa. Lakini napo ni mpaka niwe nimeshamuowa mtoto wao
Yeah nikweli unachosema mkuu upo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…