Hivi bunge la Afrika Mashariki lina faida gani, kwa nani na labda liliwahi kusaidia jambo gani ?

Hivi bunge la Afrika Mashariki lina faida gani, kwa nani na labda liliwahi kusaidia jambo gani ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Bismillah Rahman Rahim , Asalaam Aleykhum , mara baada ya salamu naomba pia niwatakie watukufu Waislam funga njema yenye baraka za Mwenyezi Mungu.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ningependa kujua faida ama neema yoyote ya uwepo wa bunge la Africa Mashariki , yako mengi ya kuuliza lakini nisingependa kuwachosha maana ni dhahiri kwamba kwa kupitia maelezo yenu basi bila shaka maswali yangu mengi yatapata ufumbuzi , na ni vema tukijikita kwenye faida zinazoonekana badala ya zile za kufikirika .

Natanguliza Shukrani na naomba pia kuwasilisha
 
Umekufuru hakuna waislamu watukufu ila ni Allah peke yake
 
Back
Top Bottom