MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 843
This is bad logic, very bad logic indeed. How can you argue that he has the potential to be a citizen of the Vatican in the future, and therefore he is not a citizen of Tanzania now?
Hivi yaonekanaa Pengo anakerwaa sanaa na uongozii tulionao kwa sasa. na kutokana na nafasi yake katika jamii yuko sawa kuonyesha hisiaa zakee kulingana na mambo ya kiutawalaa yanavyokwendaaa..Hawa wenzetu wiki hii naona swaumu imekuwa ngumu, nakumbuka jana kulikuwa na hoja nyingine kama hii eti JK v's Pengo. inavyooneka Pengo unawaumiza vichwa sana. Ninachoshindwa kuwaelewa hawa jamaa ni je? wanamtetea nani? Kikwete/CCM au Taifa? Kama ni mtu unayetetea Taifa utakubaliana na Pengo. Pole Hafif, malizia swaumu vizuri mkuu.
.......... Fundi, usipotee sana bwana, shule yako iliyo poignantly succinct inahitajika.........
tatizo sio kumuogopa bali muadhamaaa ni mnafiki hakemei akiwa serikali inaongozwa na mkristo..hili ndio tatizo lake..yaani hata mauaji kule pemba aliyabariki...huyu sio mtu sawa kushika nafasi hii...NAMKUMBUKA SANA KADINALI MAREHEMU RUGAMBWA...yeye na Pengo ni kichuguu na mlima
Hivi yaonekanaa Pengo anakerwaa sanaa na uongozii tulionao kwa sasa. na kutokana na nafasi yake katika jamii yuko sawa kuonyesha hisiaa zakee kulingana na mambo ya kiutawalaa yanavyokwendaaa..
Jk anataraji kukutana na viongozii wa dini pale makamu wa raisi na waziri mkuu watakaporejeaa toka nje ya nchi na tuwee wavumilivuu kushuhudiaa kikao hicho na yale yotee yatokanayoooo...
Tatizo ndugu zetu nyie watoto wa mama mdogo mnalalama mno sijui lini mtaacha kulalamika. Rais muislam, makamu, muislam hata jaji mkuu ni muislam lakini bado mnalalamika tu. mpewe nini?tatizo sio kumuogopa bali muadhamaaa ni mnafiki hakemei akiwa serikali inaongozwa na mkristo..hili ndio tatizo lake..yaani hata mauaji kule pemba aliyabariki...huyu sio mtu sawa kushika nafasi hii...NAMKUMBUKA SANA KADINALI MAREHEMU RUGAMBWA...yeye na Pengo ni kichuguu na mlima
Swaumu hufanya ubongo wakati mwingiene kushindwa kufanya kazi....upuuzi huu...!
HM Hafif unatuacha hoi kwa sababu bandiko lako halina mashiko kwani Pengo amekosa nini?Soma falsafa ili uwe na confidence sio kuuliza maswali ya namna hiyo.Kumpigia kura Papa haimvui uria wake wa Tanzania,kama unakosa mada heri ufanye mambo mengine ya maana
kwa wakatoliki na wasio wakatoliki ni kweli kuwa polkarp kardinal pengo ana urai wa nchi mbili yaani vatican state na tanzania, kuna mikataba mingi ya kuhusu vatican state au holy see, leo nina haraka nitaweka bandiko hapa kumjibu mwenye hoja
HM Hafif... Hiyo mantiki yako hapo juu IMEFULIAAAAAAAAA!!!!
Nchi nyingi za Ulaya mtu ambaye bado si raia anaruhusiwa kupiga kura baada ya kuishi miaka 2-3 nchi hizo na kupewa haki za kupiga kura.
Kwa mantiki yako, hao raia wote wa kigeni wanaoruhusiwa kupiga kura huko Ughaibuni ni VIONGOZI KWENYE HIZO NCHI, na siyo hiyo tu bali pia ni RAIA wa nchi hizo. Kaaz kwer kwer!
.Naona watu takriban wooote wanakuandama Bro Hafif lakini mimi nimesoma kwa makini sana nimeona kuna logic na suala lako ni zuri ambalo ingebidi wanajamii mumuelimishe kuliko kumtukana.
Nilivyokuelewa mimi ni kuwa. Kila mwananchi ana haki ya kuchaguliwa au hata kuchagua viongozi wake ili muradi akidhi masharti ya nchi husika. Nchi nyingi sharti kuu ni Uraia na umri.
sasa suala lake Pengo ana kidhi matakwa ya kuwa kiongozi wa juu wa Vatiican na anaweza kuwa kiongozi wa juu wa Tanzania.
Sasa tujaalie kadinari Pengo kachaguliwa kuwa Pope wa vatican, sasa itakuwaje?
nafikiri hili ndio kusudio lake. Hafif kama nimekosea kukuelewa naomba unikosoe.
Binafsi nitamweleza suala hili Nasriyah alifafanue kisheria zaidi na kukujibu hapa hapa ukumbini..
Re: Hivi Cardinal Pengo ni Mtanzania?
Ladies and Gentlemen of JF feel pity on Hafif because his IQ is not only zero but negative.
Wasp pole sana.
kama huna jibu ni bora kukaa kimya kuliko kufuka moshi.
..hivi kwanini Hafif na kundi lake wako so obsessed na Kanisa Katoliki na Kardinali Pengo?