Bluray,
..Hafif alikuja hapa jamii forums kuomba msaada wa tende apeleke "kwao" Rufiji.
..sasa sijui kama amemaliza kusambaza hizo tende, mpaka aje kung'ang'ana na masuala ya uraia wa Kardinali Pengo.
..unajua watu wengine wanajitafutia maumivu ya kichwa bila sababu yoyote ya msingi.
tatizo sio kumuogopa bali muadhamaaa ni mnafiki hakemei akiwa serikali inaongozwa na mkristo..hili ndio tatizo lake..yaani hata mauaji kule pemba aliyabariki...huyu sio mtu sawa kushika nafasi hii...NAMKUMBUKA SANA KADINALI MAREHEMU RUGAMBWA...yeye na Pengo ni kichuguu na mlima
.
Naona watu takriban wooote wanakuandama Bro Hafif lakini mimi nimesoma kwa makini sana nimeona kuna logic na suala lako ni zuri ambalo ingebidi wanajamii mumuelimishe kuliko kumtukana.
Nilivyokuelewa mimi ni kuwa. Kila mwananchi ana haki ya kuchaguliwa au hata kuchagua viongozi wake ili muradi akidhi masharti ya nchi husika. Nchi nyingi sharti kuu ni Uraia na umri.
sasa suala lake Pengo ana kidhi matakwa ya kuwa kiongozi wa juu wa Vatiican na anaweza kuwa kiongozi wa juu wa Tanzania.
Sasa tujaalie kadinari Pengo kachaguliwa kuwa Pope wa vatican, sasa itakuwaje?
nafikiri hili ndio kusudio lake. Hafif kama nimekosea kukuelewa naomba unikosoe.
Binafsi nitamweleza suala hili Nasriyah alifafanue kisheria zaidi na kukujibu hapa hapa ukumbini..
Sijamwona kwenye list hii Zawadingoda na Kanda2!!!!!!Kutokana na kusoma mada mbalimbali humu jamvini na kujaribu kumuona kama vile Muadham kardinari Policarp Pengo hastahiki kuwa mtanzania.
Kwanza kabisa yeye ni mmoja wa wale wateule wanaoingia bila wasi wasi katikakumchagua kiongozi wa dhehebu la katoliki Duniani ambaye pia anakuwa kiongozi wa vatican.
Vile vile yeye anaweza kuchaguliwa kuwa kiongozi wa wakatoliki duniani na Kiongozi wa nchi ya vatican, Kwani Pope anachaguliwa miongoni mwa makadinari. Kwa hiyo kwa mujibu wa sheria za kanisa katoliki anaweza kuwa kiongozi wa kidunia wa dhehebu hilo.
sasa kama kuna mtu anayeweza kuchagua kiongozi wa nchi nyingine na mwenye sifa za kuchaguliwa kuwa kiongozi bila shaka yoyote huyo atakuwa ni kiongozi wa nchi husika. Sasa naweza kusema Pengo ni M vatican.
Tunajuwa na naamini wazi yeye anahodhi pasipoti ya Tanzania na hivyo ni mtanzania.
Vile vile tunajua wazi wa tanzania hawaruhusu uraia wa nchi mbili? sasa inakuwaje.
naomba wanasheria mlifafanue hilo.
naleta hoja
kwa wakatoliki na wasio wakatoliki ni kweli kuwa polkarp kardinal pengo ana urai wa nchi mbili yaani vatican state na tanzania, kuna mikataba mingi ya kuhusu vatican state au holy see, leo nina haraka nitaweka bandiko hapa kumjibu mwenye hoja
Sofia Simba si muislam. kwa hiyo ndio maana Mengi anatoa misaada yake kanisani ili kuwakomoa waislam? una maana MENGI kutembea na kundi la kina Mwakyembe,Sitta na Seleli analifadhili kundi hilo kwa misingi ya ubaguzi wa kidini?Hahaaaaa
Kundi maslahi mna hali mbaya sana mwaka huu
Kumbe mna ugando namna hiyo vichwani mwenu? Sasa naanza kuelewa kwanini Mengi alipingwa na waislamu kina Lipumba,Sofia Simba,JK,...alipotoa yale majina yake.
Give me a break
Mimi nina hofu. Kumbukeni Rais wa CCM kasema bado kuna muda wa kushughulikia Waraka wa Wakatoliki. Anapanga kuushughulikiaje?
Hofu yangu ni kwamba CCM inapanga kampeni chafu dhidi ya Viongozi wa Kanisa Katoliki. Tunaweza kupuuza huku kuulizia uraia wake, lakini kuna watu wabaya kwelikweli ndani ya CCM. Nina hofu kubwa kwamba wanapanga sasa kampeni dhidi ya Kardinali Wetu. Nasali isiwe hivyo.
Siyo wakati mwingine kaka........ Ila ni wakati wote, ile ni njaa tu ila inaitwa kwa jina jingine (la kidini). Mwenye njaa kufikiri ni tatizo.Swaumu hufanya ubongo wakati mwingiene kushindwa kufanya kazi....upuuzi huu...!
Nimesikitishwa saana na wengi wa watu kutoa mfululizo wa matusi kwa muuliza suala.
hakika kama mtamsoma vizuri muuliza suala amebainisha nini wasi wasi wake kuhusu uraia na ameweka katika mfumo wa suala na sio habari.
Mimi nilitegemea wengi etu tungetumia muda wetu mwingi kumjibu suala lake na kuondoa wasiwasi wake lather than kumtusi bila kumpa jibu. Kiuandishi kufanya hivyo ndio kuzidi kutilia mashaka na hatimaye kujenga chuki miongoni mwenu.
Ammi Hafif.
Suala lako ni zuri sana na lina msingi mkubwa sana kwa wale wenye upeo mkubwa na ni challenge kwa watungasheria huko Tanzania na wanasheria pia lakini hata wananchi wenye kufatilia mustakabali wa siasa za tanzania.
Kifupi ili kupata jibu lazima tuzifafanue
Mosi:sheria za Kimataifa zinazohusu haki za mwananchi hususan kuchagua na kuchaguliwa katika uongozi wa juu.
Pili kuangalia sheria za Tanzania zinazobainisha Haki ya mwananchi katika kuchagua au kuchaguliwa Uongozi wa juu.
tatu. Sheria za Uraia za Tanzania.
Nne. Sheria za vatican ( za uraia na haki za kiuongozi kuchagua ima kuchagulia.
Kwa upande wangu nitazifafanua sheria za Kimataifa na zile za Tanzania. lakini sina uwezo kuzieleza sheria za kanisa katoliki kwani sijazipitia .
Kwani hata ukisoma International laws utaona vatican mnaiacha upande mwingine kwani haifungamani na sababu kuu za kuwa hivyo ni
1. Ni nchi ndogo kabisa Duniyani yenye idadi ndogo ya watu( Ina watu wasiozidi 600)
2. Asilimia zaidi ya 98 ya raia wake wanaume
3.Nchi yenye balozi (wawakilishi)zake kwenye nchi mbalimbali duniyani lakini hakuna hata nchi moja Duniyani yenye ubalozi wake ndani ya Vatican.
4. Nchi ambayo inaruhusu raia wa nje wanakuwa viongozi wake wa juu
5. wawakilishi wake a kibalozi lazima wawe maaskofu.
nasherehekea Eid lakini nitaeleza baada ya sikukuu.
nawatakia Eid Mubarak
Mimi nina hofu. Kumbukeni Rais wa CCM kasema bado kuna muda wa kushughulikia Waraka wa Wakatoliki. Anapanga kuushughulikiaje?
Hofu yangu ni kwamba CCM inapanga kampeni chafu dhidi ya Viongozi wa Kanisa Katoliki. Tunaweza kupuuza huku kuulizia uraia wake, lakini kuna watu wabaya kwelikweli ndani ya CCM. Nina hofu kubwa kwamba wanapanga sasa kampeni dhidi ya Kardinali Wetu. Nasali isiwe hivyo.
vatican mnaiacha upande mwingine kwani haifungamani na sababu kuu za kuwa hivyo ni
1. Ni nchi ndogo kabisa Duniyani yenye idadi ndogo ya watu( Ina watu wasiozidi 600)
2. Asilimia zaidi ya 98 ya raia wake wanaume
3.Nchi yenye balozi (wawakilishi)zake kwenye nchi mbalimbali duniyani lakini hakuna hata nchi moja Duniyani yenye ubalozi wake ndani ya Vatican.
4. Nchi ambayo inaruhusu raia wa nje wanakuwa viongozi wake wa juu
5. wawakilishi wake a kibalozi lazima wawe maaskofu.
nasherehekea Eid lakini nitaeleza baada ya sikukuu.
nawatakia Eid Mubarak
.hafif - pengo kupiga kura vatican sio tatizo kwenye uraia wake, kwa wa TZ walioshawahi kukaa UK watakueleza; raia yeyote wa commonwealth anaruhusiwa kupiga kura UK na hata mimi na wa TZ kibao tumeshapiga kura UK
.Unajiita "Mwanasheria wa Kimataifa" lakini ni wazi kutokana na maandishi yako hapo juu kwamba hujui hata kidogo tofauti iliyopo kati ya "Vatican City" na "Holy See".
Hebu tafadhali naomba utufafanulie maana ya "Vatican City" na "Holy See" na tofauti za kisheria kati ya mamlaka hizi mbili? Vitu vimewekwa wazi kwenye Wiki kwa kila mwenye kutaka kufahamu aelewe lakini bado tu Mmanga unaongopea watu na "utaalam" wako feki wa "Sheria ya Kimataifa" unaodai kuwa nao?! Ni aibu tupu!!
__________________