Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
CCM ilipo asisiwa ni chama cha wakulima na wafanyakazi. Ndio maana nembo yake kwenye bendera kuna nyundo kwa wafanyakazi na jembe kwa wakulima.
Filosofia ya CCM ni ya kiujamaa pamoja na kuukaribisha uchumi wa biashara huru.
Siku hizi ndani ya CCM hakuna Political Theorists wa kuelezea mlengo na muelekeo wa Filosofia ya chama.
Hapo katikati tumepata wapiga debe wa hovyo kabisa ambao hawajawahi tokea kwenye chama. Tulikuwa na kina Prof Mbwiliza , Bismark Mwansasu ,waliowiva toka Chuo cha CCM wakati huo Kigamboni. Sasa tukaishia na kina Polepole wapiga debe wa kijinga kuwahi tokea ndani ya CCM.
CLIP ya mavieitee ndio niliona CCM ya Mwalimu imeisha kabisa, maana kiitikadi Polepole hajui anaongea nini.
Pole CCM ya Mwalimu.
Filosofia ya CCM ni ya kiujamaa pamoja na kuukaribisha uchumi wa biashara huru.
Siku hizi ndani ya CCM hakuna Political Theorists wa kuelezea mlengo na muelekeo wa Filosofia ya chama.
Hapo katikati tumepata wapiga debe wa hovyo kabisa ambao hawajawahi tokea kwenye chama. Tulikuwa na kina Prof Mbwiliza , Bismark Mwansasu ,waliowiva toka Chuo cha CCM wakati huo Kigamboni. Sasa tukaishia na kina Polepole wapiga debe wa kijinga kuwahi tokea ndani ya CCM.
CLIP ya mavieitee ndio niliona CCM ya Mwalimu imeisha kabisa, maana kiitikadi Polepole hajui anaongea nini.
Pole CCM ya Mwalimu.