Kipengele no.7 Kampuni hiyo chini ya wazalendo pamoja na matatizo yaliyokuwepo ilijipanga vizuri kutekeleza majukumu yake, wakasema no way ni lazima ibinafsishwe. Tangu imebinafsishwa ni matatizo ya utawala kila siku mara management contract mara celtel iwe kampuni kamili kutoka TTCL, ili mradi ubinafsishaji haukuwa na tija yoyote kwa taifa.
Mwisho kabisa malengo yao yametimia na kuanza kuona aibu wameamua kuirudisha serikalini, kinachowasumbua ni utata katika kugawana kilichopatikana wakati wa uendeshaji huu wa ki wizi. Tuendelee kusubiri labda neema yaja!!