A Andrew123 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2012 Posts 8,358 Reaction score 10,976 Jul 6, 2024 #1 1. CCM nao wanachekesha Sana aisee. Yaan eti nao wanajipanga Kwa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 mbona 2019 waliachiwa viti vyote nchi nzima? 2. Panic ya nn mwaka huu. Watulie kusubiri "kutangazwa" washindi bila kupingwa.
1. CCM nao wanachekesha Sana aisee. Yaan eti nao wanajipanga Kwa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 mbona 2019 waliachiwa viti vyote nchi nzima? 2. Panic ya nn mwaka huu. Watulie kusubiri "kutangazwa" washindi bila kupingwa.
A Andrew123 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2012 Posts 8,358 Reaction score 10,976 Jul 6, 2024 Thread starter #2 CHADEMA kaeni Kwa kutulia.
M Mkumbwa Jr JF-Expert Member Joined Mar 23, 2016 Posts 2,668 Reaction score 3,751 Jul 6, 2024 #3 Hujawahi ona hata mtu ukimwambia mambo vipi. Anajibu tunapambana. Muulize anapambana nanani hahàa hamjui Hao inawezekana wanashindana na wasio wajua
Hujawahi ona hata mtu ukimwambia mambo vipi. Anajibu tunapambana. Muulize anapambana nanani hahàa hamjui Hao inawezekana wanashindana na wasio wajua