Hivi chuo kikuu ndio sehemu ya kubebea mimba.......oh kidagho

Kwani si kuna programme zinaitwa BED Arts (sanaa za vitandani) ahahaaaaaaaaaaa hawa ni noma wanabeba kama hawana akili nzuri...

mpigamsuli, Masatujr sidhani kama mmekomaa kiakili katika kuwaza na kutoa hitimisho hata mtoto wa kidato cha pili angeweza kusema kama nyinyi shirikisheni ubongo katika kutoa maoni yani sioni usomi wenu mnavyoutumia katika kuanalyse issue Masatujr kwa umri huo napaswa nikupe shikamoo lakini...
 
Last edited by a moderator:
PERRY, UMENENAA, LL,b,BAF,B.COM ENGINEERING, MEDICINE,HUWEZ KUKUA MADEM WA IZO KOZ WANABEBA MIMBA KIZEMBE ,

Muhas pale wadada wanashindana sana kubeba mimba...Sana sana wakifika mwaka wa tatu kwasababu mwaka huo uko loose haupo tight...
 
Dah nimerahishwa na Nyuzi zenu
 
Dah nimerahishwa na Nyuzi zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…