Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Hukuna jina rasmi la kiswahili ila wanaitwa jamaa wa "vichekesho", wachekeshaji, hata joti na mpoki ndio walianzia huko kwa kujipaka masizi kichwani, kufunga vile na kujaza matambara ya tumbo na mzigo!.
Nadhani kwenye tungo zako ili ikae vizuri bora umuite jina ambalo halitumiki siku hizi MWANASESERE...
Hukuna jina rasmi la kiswahili ila wanaitwa jamaa wa "vichekesho", wachekeshaji, hata joti na mpoki ndio walianzia huko kwa kujipaka masizi kichwani, kufunga vile na kujaza matambara ya tumbo na mzigo!.
Kuna mtu anaweza kusaidia?