Hivi Couple za humu JF ziliishia wapi?

Unge wat.tag mkuu ili wageni wamiaka hii tuwajue ma legendary tusije toka na wanawake wao
Kanuni za JF haziruhusu kulenga mtu moja kwa moja ila wapo wengi sana humu na wengine tumewahi kuachiana makoloni na kwenye coment nimewaona wamepita.
 
Ivi huwa humu kna couple??
 
Acha kihelehele wewe fanya Mambo yako.
 

Hapo kuna mawili

Ukiona kapo ziko motomoto sana humu jeiefu, ujue hao watu hawajakutana laivu bado. Siku wakikutana na kukuta hawafanani kabisa na zile profaili pikcha wanazoweka humu mfano unakuta mdada kaweka picha ya beyonce kumbe yeye yupo kama whoopi goldberg, au mkaka kaweka picha ya will smith wakati ni kijeba kifupi, kina upara na sura kama mhogo mchungu, mahusiano huwa yanakatika ghafla na hautawasikia tena!!

Au wameshakutana na wamekulana, na kawaida watu wakishakulana ule msisimko kunakua hamna tena hapo kila mtu anaanza kutafuta sababu ya kumuacha mwenzake, atakaewahi kuipata ndio mshindi.
 
kabsa mambo ya online datting sawa na kubeti unaweza kutana na mdada ukatamani ukimbie au ukaishia kuzima simu.
 
Mkuu tatizo la humu mwanaume anajifanya demu na mwanamke anajifanya meni
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Nimecheka [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…