Hivi Couple za humu JF ziliishia wapi?

Ziliishia hapo hapo zilipoanzia,
Ila mkuu hizo no personal ishu za watu achana nazo
 
Nilibahatika kupata demu mmoja humu! Viatu vya..cjui alikua anaugua pumu au lah! Nlimtandika mikwaju ya maana nkaona anakidude cha kuongeza pumzi! Mpka Leo cjajua a see! Hizi takataka za kuokota humu jaman Mungu tu anasaidia! Vijana wenzangu tuache mserereko na kupenda vya bwerere! Wengi humu na kule kwenye mitandao pendwa ni waathirika! Tuwe makini japo nyege hazina mjanja! Nb; ndom 2 kwa tendo moja mana hawana alama!
Najua yupo humu na wengi hampendi ukwel! Ova!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…