aiseeeee babaangu nasikiya kuko kuna steg ya kupanda na kushuka,,,,kuna muda nilisikia tetesi inamilikiwa na rizi 1 ila nikapuuzia sasa sijui ni kweli?????
Mkuu inawezekana mi kuna mtu yupo Basata tena na wadhifa wa juu tu aliniambia familia ya Mkuu wa Nchi inahusika humo katika umiliki......