Huyu wetu anasubiri kununuliwa gari na nani? alikiba au?Mmoja juzi kamnunulia gari demu wake huko kwao Nigeria huyu wetu anasubiri kununuliwa yeye gari!!.. hapo mfanano wao upo wapi?.
Usimfananishe Davido na macho.ko weweKama umeshawahi kuwatazama wawili hawa kwa ukaribu utajua nini nasema, wamefanana mno kuanzia Dimpoz mpaka ufupi, Naomba kujua kwa wanaofahamu kama wawili hawa wana undugu wowote...
Na je nani kati ya wawili hawa anajua kuutumia ufupi wake kwenye mavazi/fashion?
Nawasilisha.
Na mume wakeHuyu wetu anasubiri kununuliwa gari na nani? alikiba au?