Hivi dawa za akili zipo kweli?

Hivi dawa za akili zipo kweli?

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Ndugu zangu nataka kuuliza kitu

Hivi dawa za akili zipo kweli?

Ilikuwa mwaka 2015 kuna rafiki yangu fulani alichukuwa kitabu cha baba yake cha madawa tukawa tuna soma kitabu icho kwa bahati nzuri tukaona dawa ya akili ambayo vitu vyake vilikuwa raisi kupata. Mimi kwa kupenda kwangu kujaribu nikatafuta vitu vile nikatengeneza ile dawa ili ni jaribu nilifata taratibu zote nikatengeneza ile dawa.

Baada ya wiki kazaa nikaona nimekuwa mtu mmoja sijui ndo ni seme ili kuwa dawa au nilijikuta nimekuwa mtu ambaye napenda saana kusoma vitabu saana nikawa sipendi kwenda shule tena nilikuwa form 3 kipindi icho niliacha shule kabisa nikawa sipendi shule ila nilipenda saana kujifunza vitu vingi vya dunia. Na nikawa navielewa kabisa bila kufundishwa na mtu na kuna kipindi nilikuwa na fikiri tu kitu fulani mfano mtu akiwa mgonjwa akili yangu ikifikiri huyu atapona na kitu fulani na kweli tukimpa kitu icho ana kuwa sawa kabisa

Lakini sasa hivi nina miaka miwili nimekuwa sijielewi kabisa yaani mpaka nina fika kipindi na shindwa kufikiri vitu vya maana yaani kwa kifupi nimepungukiwa na akili tofauti na mwanzo. Nimekuwa mtu wa ovyo kabisa yaani kuna kipindi nafikiri kabisa ninayo yafanya sio sawa inatakiwa nifanye ivi nikitaka kufanya vitu vile nilivyo ona ni sahii na vya maana kwangu na sau kabisa sijui Nimekuwa je nahisi nimerogwa kabisa


Nipo apa najiuliza hivi ile dawa ya akili ilikuwa inafahya kazi kweli maana sielewi kabisa
 
Labda tuanze kutafakari kipimo cha akili ni nini? Tunajuaje whether or not mtu fulani ana akili nyingi au za kwaida? Of cause mtu ambaye hana au kapungukiwa na akili ni rahisi kujua.

Wakati mwingine mitihani ya darasani au ya maisha inaweza kukupa taswira fulani. Aidha, mara nyingi akili inahusishwa na uwezo wa kumbukumbu na namna mtu anavyoweza kusuluhisha changamoto kwa usahihi na haraka.

Zipo dawa zinazo imarisha uwezo wa kumbukumbu ila uwezo wa kutatua changamoto pengine through training and accumulated experience.
 
Ndugu zangu nataka kuuliza kitu
Hivi dawa za akili zipo kweli?
Ilikuwa mwaka 2015 kuna rafiki yangu fulani alichukuwa kitabu cha baba yake cha madawa tukawa tuna soma kitabu icho kwa bahati nzuri tukaona dawa ya akili ambayo vitu vyake vilikuwa raisi kupata
Mimi kwa kupenda kwangu kujaribu nikatafuta vitu vile nikatengeneza ile dawa ili ni jaribu nilifata taratibu zote nikatengeneza ile dawa
Baada ya wiki kazaa nikaona nimekuwa mtu mmoja sijui ndo ni seme ili kuwa dawa au nilijikuta nimekuwa mtu ambaye napenda saana kusoma vitabu saana nikawa sipendi kwenda shule tena nilikuwa form 3 kipindi icho niliacha shule kabisa nikawa sipendi shule ila nilipenda saana kujifunza vitu vingi vya dunia
Na nikawa navielewa kabisa bila kufundishwa na mtu na kuna kipindi nilikuwa na fikiri tu kitu fulani mfano mtu akiwa mgonjwa akili yangu ikifikiri huyu atapona na kitu fulani na kweli tukimpa kitu icho ana kuwa sawa kabisa

Lakini sasa hivi nina miaka miwili nimekuwa sijielewi kabisa yaani mpaka nina fika kipindi na shindwa kufikiri vitu vya maana yaani kwa kifupi nimepungukiwa na akili tofauti na mwanzo
Nimekuwa mtu wa ovyo kabisa yaani kuna kipindi nafikiri kabisa ninayo yafanya sio sawa inatakiwa nifanye ivi nikitaka kufanya vitu vile nilivyo ona ni sahii na vya maana kwangu na sau kabisa sijui Nimekuwa je nahisi nimerogwa kabisa


Nipo apa najiuliza hivi ile dawa ya akili ilikuwa inafahya kazi kweli maana sielewi kabisa
We tiali ushadata... Cha kukushauri nenda hospital kubwa ukaonane na daktari waagonjwa ya akil yeye ndo atakueleza kipi Cha kufanya haswa kujitibia
 
Pole sana, vya kuambiwa changanya na vya kwako...
 
ni sawa na ulitumia bio claire ukihisi ni dawa ya chunusi zilipokuisha ukajua ushapona maxima kumbe ndo umejikoroga.


mkuu unatakiwa ujibust ile dawa uliyoitumia unaelekea kuwa km mzee kigosi.
 
Unaposema ukitumia dawa ya akili Bado hujaweka wazi maana watu hujachanganya mambo .
Akili na kumbukumbu ni vitu tofauti.
Kwa hakuna kitu akili Bali ni ubongo kuweza kuhifadhi kumbukumbu za muda mfupi na mrefu Kisha kuzitumia pale zinapo hitajika.
Elimu yetu haipimi uwezo wa kumbukumbu kutatua matatizo Bali uwezo wa kukumbuka TU.
Ujuzi au ubobezi ni Matokeo ya kumbukumbu kufanya kazi Kwa kiwango Cha ufanisi iwe ni kuendesha gari au pikipiki basi hapo muscle memory zitahusika.
Afya ya ubongo ni Pana sana
 
Ndugu zangu nataka kuuliza kitu

Hivi dawa za akili zipo kweli?

Ilikuwa mwaka 2015 kuna rafiki yangu fulani alichukuwa kitabu cha baba yake cha madawa tukawa tuna soma kitabu icho kwa bahati nzuri tukaona dawa ya akili ambayo vitu vyake vilikuwa raisi kupata. Mimi kwa kupenda kwangu kujaribu nikatafuta vitu vile nikatengeneza ile dawa ili ni jaribu nilifata taratibu zote nikatengeneza ile dawa.

Baada ya wiki kazaa nikaona nimekuwa mtu mmoja sijui ndo ni seme ili kuwa dawa au nilijikuta nimekuwa mtu ambaye napenda saana kusoma vitabu saana nikawa sipendi kwenda shule tena nilikuwa form 3 kipindi icho niliacha shule kabisa nikawa sipendi shule ila nilipenda saana kujifunza vitu vingi vya dunia. Na nikawa navielewa kabisa bila kufundishwa na mtu na kuna kipindi nilikuwa na fikiri tu kitu fulani mfano mtu akiwa mgonjwa akili yangu ikifikiri huyu atapona na kitu fulani na kweli tukimpa kitu icho ana kuwa sawa kabisa

Lakini sasa hivi nina miaka miwili nimekuwa sijielewi kabisa yaani mpaka nina fika kipindi na shindwa kufikiri vitu vya maana yaani kwa kifupi nimepungukiwa na akili tofauti na mwanzo. Nimekuwa mtu wa ovyo kabisa yaani kuna kipindi nafikiri kabisa ninayo yafanya sio sawa inatakiwa nifanye ivi nikitaka kufanya vitu vile nilivyo ona ni sahii na vya maana kwangu na sau kabisa sijui Nimekuwa je nahisi nimerogwa kabisa


Nipo apa najiuliza hivi ile dawa ya akili ilikuwa inafahya kazi kweli maana sielewi kabisa
Nieleze vizuri inawezekana ukifanya kitu cha kuingilia au kumiliki usichotakiwa. Ulifanya nini hasa?
 
Here is a list of herbs that have been shown to boost brain activities and intelligence:
  • Brahmi (Bacopa monnieri): Brahmi is an Ayurvedic herb that has been used for centuries to improve memory, focus, and cognitive function. It is thought to work by increasing levels of acetylcholine, a neurotransmitter that plays a role in learning and memory.
  • Ginkgo biloba: Ginkgo biloba is a Chinese herb that has been shown to improve blood circulation to the brain. This can lead to improved cognitive function, memory, and concentration.
  • Ashwagandha (Withania somnifera): Ashwagandha is an adaptogenic herb that can help the body cope with stress. It is also thought to improve cognitive function, memory, and learning.
  • Ginseng (Panax ginseng): Ginseng is a popular herb that has been used for centuries to improve energy, stamina, and cognitive function. It is thought to work by increasing levels of ATP, the body's energy currency.
  • Gotu kola (Centella asiatica): Gotu kola is an Ayurvedic herb that has been used to improve memory, concentration, and cognitive function. It is also thought to improve blood circulation to the brain.
  • Turmeric (Curcuma longa): Turmeric is a spice that contains the compound curcumin. Curcumin has been shown to have anti-inflammatory and antioxidant properties. It is also thought to improve cognitive function and protect the brain from damage.
  • Sage (Salvia officinalis): Sage is a herb that has been used to improve memory, concentration, and cognitive function. It is also thought to have anti-inflammatory and antioxidant properties.
  • Rosemary (Rosmarinus officinalis): Rosemary is a herb that has been shown to improve cognitive function, memory, and concentration. It is also thought to have anti-inflammatory and antioxidant properties.
  • Peppermint (Mentha piperita): Peppermint is a herb that has been shown to improve alertness, focus, and cognitive performance. It is also thought to have anti-inflammatory and antioxidant properties.
It is important to note that more research is needed to confirm the long-term safety and efficacy of many of these herbs. It is also important to talk to your doctor before taking any herbs, especially if you have any underlying health conditions or are taking any medications.

Here are some tips for using herbs to boost brain activities and intelligence:

  • Choose high-quality herbs. Buy herbs from a reputable source and make sure they are labeled correctly.
  • Start with a low dose. You can always increase the dose gradually if needed.
  • Be patient. It may take some time to see results.
  • Use herbs in combination with other lifestyle changes. Eating a healthy diet, getting regular exercise, and getting enough sleep are all important for brain health.
 
Back
Top Bottom