Hivi Diamond akiwa peke yake sebuleni akasikia ngoma kali ya mwaka huu "UTU" ya King Kiba ikipigwa kwenye home theatre kali za sony anajikiaje, ni anapitia kwenye wakati gani maana lile jiwe ni shida.
King Kiba kajua kumpiga domo na kitu kizito kichwani kwa kwl [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].