Hivi Diamond anamkomoa Nani?

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Haya mambo anayofanya Diamond mitandaoni , hata wadogo zake akina young na dogo janja hawafanyi hivyo , diamond is no longer in experimental phase , kashafanya upuuzi wote, umri umeenda now , he has a family now , hata kama ameachana na mama watoto zake , mambo anayoyafanya kwenye mitandao ya kijamii ni fedheha kwa familia yake na kwake mwenyewe . Pengine anaona kaishika serikali mkononi hawana la kumfanya, Ila akumbuke we all reap what we sow, siku atakutana na pigo takatifu ndipo atakapojua kuwa pesa na umaarufu sio kitu .

Kama wazazi wake wameshindwa kumkanya na Serikali imeshindwa kumkanya, basi dunia ipo itamfundisha vizuri tu.
 
unajua diamond platnumz jana kapeleka mtu india kwa matibabu na gharama ni milioni 50

kabla hujamponda jiulize we umechangia shilingi ngapi binadamu mwenzako atibiwe??

unajua kama last week diamond kagawa bima za afya ngapi? na mitaji kwa kina mama wangapi?

unajua hizo hela diamond anazisaka vipi??

vituko kama hivyo anavyopost ndivyo vinaleta hela... maana anapata attention za mashabiki
 
Ukishasema Mungu atamuonesha au dunia itamuonesha huo ndio mwisho wa kufikiri kwako..
 
Diamond hana Amani tangu waachane na zari pia watu wanampuuza, sasa anafanya huo ujinga kujitaftia Amani ya moyo.akifikiri ana waumiza hamisa na Zari, bora ajiheshimu hamna asiyefanya hyo kitu
 
si kuna taarifa kwamba tayari Dally Kimoko amemtembelea ndio maana Zari akaondoka? Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu, Mambo mengi ya kipuuzi anayoyafanya kwa sasa tumsamehe gitaa la Kimoko sio mchezo
 
Ametusaidia bodaboda Huku tandale na matank ya. MAji shulen
 
Tununu aliona kuzaa ndo kigoma mwisho wa reli eeeh.

Alivyokua anajishaua pussy so good akajua anamkomesha zari kumbe anajikomoa mwenyewe, Mara kumi zari familia inamheshimu, Ila bibie Ana gundu kwa ndugu wa domo mpaka domo mwenyewe hamtaki na uchawi kushikwa juu, yani tununu jaman wamejua kumnyoosha aiseh, sasa hiv kapo kimya 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…